Hapana Mkuu Wasafwa wao ni wenyeji wa Mbeya Mjini na Mbeya vijijini (Uyole,Iduda,Iwalanje,Ituha,mwijombe,Mwasanga,Iganzo,Mbalizi,Loleza,Inyara,Isyesye,Nsongwi,Ilomba,Sae nk)
Wanyakyusa wao ni wenyeji wa Rungwe (Tukuyu,Kiwila,Kyela,Ruangwa,Itete,Isongole,mwakaleli nk)