Recent content by Roosevelt22

  1. R

    Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

    Acha kumdanganya mwenzio, 14m ndio ununue viwanja vitatu vya square meter 800???? Lamda sio Dar. Viwanja vilivyo pimwa vinauzwa kwa square meter. Hiyo pesa ni ndogo sana. Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  2. R

    Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

    Njoo Kigamboni jirani na manispaa ya Kigamboni block 16 ni surveyed plot, ninavyo viwanja 14M. Njoo inbox kwa maelezo zaidi. Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  3. R

    Aliyeamua kuchukua hii Route ya Johannesburg to Dar Es Salaam ni Mtanzania Kweli?

    Wewe akili huna kabisa, hiyo gari inapita hizo nchi ili kupata abiria, kumbuka hiyo ni bus ya abiria sio tax Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  4. R

    Anayewajua supplier wa PVC Window kutoka China

    Mkuu naomba niunganishe na Mimi ninawatafuta pia
  5. R

    Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

    Vyuoo vifunguliwe hawa watoto wa busy maana huku ni pumba Sasa wanaongea. Wewe jengo hilo ujenge kwa 55ml kweli?
  6. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Sio bure mkuu mambo mengine ni yakuyajenga inbobo. Siwezi kuweka Kila kitu hazarani ndio maana nilisema nitamtunza mtoto na pia hauzi kumtunza mtoto bila mamake kufaidi.
  7. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Kwani Master's ndio inatongoza mkuu.
  8. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Kwani kunasehemu Mimi nimesema natafuta Mke? Soma vizuri Uzi wangu usikurupuke. Mimi natafuta mwanamke alie tayari kuzaa?
  9. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Nitawatongoza wangapi? Ndio maana natafuta mwenye uhitaji wa kuzaa?
  10. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Nitawatongoza wangapi? Ndio maana nataka ambae yupo na uhitaji wa kuzaa?
  11. R

    Mwanamke wa kuzaa naye mtoto

    Husika na kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa kitanzania, miaka 36, dini mkristo, elimu Msc, kazi mfanya biashara. Natafuta mwanamke ambaye ninaweza kuzaa nae mtoto au ambae anahitaji kuzaa mtoto. Matunzo yote ya mtoto ni juu yangu mimi kama baba. NB: Ambae yuko tayari kuzaa mtoto...
Back
Top Bottom