Kampuni ya Hardco traders & Intergic Ltd, yenye makao makuu mjini Tanga na sasa imefungua matawi mikoa ya Iringa, Ruvuma na Morogoro sasa inatangaza nafasi za kazi ya udereva kwa magari makubwa na madogo.
Mwombaji awe tayari kuingia mkataba wa kazi na kampuni. Pia awe tayari...
Mkuu na mie natafuta kazi ya udereva. Kama kuna mchongo nisitue elimu yangu kidato cha 4. Nina uzoefu wa miaka mitano barabarani. Nina lesen daraja A,A2,B,D na E. Mawasiliano 0757003302
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.