Recent content by Ron70

  1. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Hatari kaka lakini kimenifundisha mambo mengi sana, connections, namna ya ku deal na watu na mambo mengine mengi sana
  2. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Hapa ume maliza kila kitu, hakika hakuna shortcut inahitaji ujiwekeze haswa. Nimefanya msimu huu kama pilot phase lakini nime jitosa haswa haswa nategemea mwakani nisahihishe makosa ya mwaka huu
  3. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Tuna subiri mkuu
  4. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Budget niliyo weka imepitiliza by 15% mpaka sasa na hapo nime lihudumia shamba kweli kweli kama vile mtoto yuko hospitali anaumwa.! Kwa kifupi haya mambo bila extra budget unakua na hali mbaya sana
  5. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Ufugaji nao jau tu[emoji28], unalala na vifaranga 2000 una amka viko 70
  6. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Pole sana, nime panda so far palizi ndo imekua ishu maana ukioiga dawa mvua inaosha dawa, ukitaka kuweka watu kwa manual palizi mvua zina kwamisha kazi.. inshort ndo kitu pekee kimeni kwamisha mpaka sasa ila yanaenda vizuri kiasi chake
  7. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Next season nita ongeza haya mazao kwenye list mkuu
  8. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Sikuwa nime try before so nilikua eager kujaribu msimu huu kwa anticipation ya mvua. Nimejifunza mengi so next time nita boresha zaidi
  9. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kilimo si kwa watu dhaifu

    Nimejaribu kufanya kilimo cha mahindi msimu huu wa kilimo and let me tell you something maina, kilimo is not for the weak[emoji1430][emoji1430]. Hamna rangi sija acha ona lakini as they say maji ukisha ya vulia nguo sharti uyaoge so we move [emoji817].
  10. Ron70

    JamiiForums Tanzania Nikimaliza chuo nifanye nni?

    Kwanza toa mentality ya kwamba you have to prove yourself, pambana kwa kadri ya uwezo wako ila si kwa kuonyesha you need to prove yourself. Kama hukuweza save chochote it’s okay ila kwa huu mwaka wa mwisho pambana upate saving kwa namna yoyote ile kutoka boom kama unalo au hata hela unayo...
  11. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kazi na maisha

    Very positive, asante sana kwa ushauri huu nita ufanyia kazi.
  12. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kazi na maisha

    On it, shukrani mkuu.
  13. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kazi na maisha

    My point si kuacha tu kazi kama umesoma vizuri ni how will I balance kazi na my personal life. Anyways nashukuru kwa mchango wako mkuu.
  14. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kazi na maisha

    If I didn’t have people to take care of I don’t think worrying about getting another gig would be one of my worries but again yeah I have that sorted out already nadhani ni mawazo ya ku switch ndo yananisumbua zaidi. Asante sana kwa mawazo haya kaka.
  15. Ron70

    JamiiForums Tanzania Kazi na maisha

    Thanks for the kind words brother, I will do my best to keep my head high.
Back
Top Bottom