Abdul hana nafasi yeyote kwenye Chama wala kwenye serikali ila ni mtu muhimu kwenye kupenyeza agenda,unataka waandishi wamuhoji nini wakati Wenje amesha kiri kukutana nae?
Sheria gani wakati watu wanapokea tu pesa za Abdul kimya kimya na kuweka kwenye account zao ili wakishike chama mateka , Chama hakiwezi kujiendesha mpaka pesa itoke mfukoni kwa Mbowe, wacha Lissu akaondoe haya mambo ya hovyo kwenye chama
Chama hakina pesa, pesa yote iko kwa Mbowe , Lissu anataka pesa ya Chama irudi chamani, sio jambo la chama ukampigie Mbowe magoti atoe pesa ya Chama kwenye account yake, huku ni kushika chama mateka
Zitto alikuwa dhaifu, tunataka Lissu awe mwenyekiti maana ni mtu wa kazi ,anae ua chama ni yule anaekumbatia kiti kwa zaidi ya miaka 15 akila pesa ya chama kwa account yake binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.