Safi sana huyu bwana katumwa ni mamluki hata ss wanachama tunatambua hilo tupo nyuma yenu viongozi haki itapatikana tu iki ni chama cha wananchi c cha lipumba.
Maamuzi haya kwa kwetu yanaweza kuwa na faida lkn kumbukeni hawa watu awaingiii mikataba ya kizembe... Naona km tumewapa penalt hawa watu si mnajua wanakwendaga mahakama za huki icc sijui nafikiri lingetazamwa kisheria zaidi maana lisiwe na asari kubwa.... Napenda sana tuachane na hii mikataba...
Hoja zipi azina mashiko mtabaki kusubiri kusikia mbowe,lisu n.k wamefanya nn na nyinyi ndio mwandike mipasho ss atudanganyiki..... Mpaka kieleweke hii c mtu ni yetu na kufanya au kuuliza ni haki yetu kikatiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.