Watu tulio nje ya mkoa wa Arusha ni sahihi tusingeona jinsi Mh Lema alivyopuuzwa. Ila wale waliondani ya mkoa, ambao wamemchagua Mh Lema wanajua ukweli upo wapi. Malengo ni mawili.
1. Hospitali ijengwe ndio lengo kuu
2. Kuondoa sitomfahamu kwa wadhamini wetu.
NB. Lakini kilichotokea nadhani hata...
Ni sawa na ana haki ya kuhamaki lakini hivi hatuoni kuwa ni busara kumuheshimu mkuu wako wa mkoa maana yeye ndo kiongozi mkubwa mkoani?.
Pili, una kila kithibitisho kuhusu hilo suala ya kwamba umehusika kulifuatilia tokea hatua za awali, kwanini mtu asiyejua mwanzo wa jambo akusumbue kichwa.
Namimi nisemepo.
Lema alikosea sana, kama video inavyoonyesha jinsi akilalama " mimi nimetafuta wahisani" kumbe lengo lake ni atajwe katika watu ambao wangepaswa kupewa shukrani.
Hekima ya pale ilimbidi atulie, maana hata wawekezaji walimshamngaa kwa kauli zake wakati Mkuu wa mkoa anaendelea...
<br />Thanks Mwigulu kwa ufafanuzi murua .umefanya vizuri kujibu wewe binafsi na simple umeeleweka .kuliko ungewaachia hawa pasua vichwa Lumumba bk 7 wajibu ilihali awajui chochote wamejawa na lugha chafu zisizo na ushawishi sana sana kuzidisha maswali kuliko majibu .again Asante Mh Mwigulu...
Daaa aisee ni shida sana, ilikuona aliingiza siasa na kama inavyojulikana Gambo ameteuliwa na Rais na ni mtu wa CCM na Lema ni mtu wa upinzani.
Kauli ipi imeonyesha Gambo aliweka Siasa pale??.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.