elimuplatform
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,054
- 462
Uchumi umesimama, hakuna viwanda, mabenki hayakopeshi, watumishi wanapunguzwa, biashara zinafungwa, nguvu ninayo naitumia wapi ili niweze kupata tonge au unataka niwe mbunifu kama scorpion au panya road? Tumia ubongo kutafakariUnaruhusiwa kuhamia nchi ambayo rais anagawa hela bure na maisha siyo magumu. Kwani umelazimishwa kuishi Tanzania?