Recent content by Rogers Ntagara

  1. R

    HESLB to spend Sh325bil.

    Vjana mna wenge na pesa.... Mnatakiwa kusain kwanza alf pesa baadae.... So pesa itatanguliwa den mtaitwa kusain...achen wenge mjin hapa
  2. R

    Tangazo la heslb kwa wale continuing students..

    Vijana msipanic huu mwaka wenu maana continuing students wametengewa fungu kubwa kuliko freshe's so mna possibility ya kuwezeshwa almost 60,000stdnts
  3. R

    Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

    Ibara ya 12 mpk 29 imeweka wazi juu ya swala la haki za binadam na za msingi kwa ivo basi chombo chochote iwe ni private ama public kinapaswa kuheshim na kulinda haki izo za msingi... Teku wamevurunda hapo honestly!
  4. R

    Customer care representatives

    So tupe mwongozo wa kuitumia ndugu yeon
  5. R

    nafasi za kusambaza flyers or bronchures za events

    how am i going to reach there? and how much am i going to be paid its me rogers find me through this no.0713397322
  6. R

    Rasimu ya Katiba: 39 (3), je hakuna utata?

    Na imeonekana kwamba mahakama za nje zipo kwa ajili ya viongozi wa afrika peke yake na sio wa ulaya
  7. R

    Rasimu ya Katiba: 39 (3), je hakuna utata?

    Sidhan kama kuna utata, kwasababu nchi yoyote ina wajibu wa kumlinda na kumtetea raia wake.. Kwa iyo basi ni vema vyombo vya kuamua hatima ya kosa alilofanya mshitakiwa akiwa kwao.
Back
Top Bottom