Recent content by ROFACOL

  1. ROFACOL

    ADDITIVE YA KUZUIA PEREGE KUZALIANA BWAWANI

    We are happy to inform all people that, now ROFACOL TANZANIA has launched its new product called TILAPIINE ANTI-PROLIFIC which prevents the Tilapia species from breeding on the fish pond. This additive has also been supplemented with various refinements in which it can stimulate fish to grow...
  2. ROFACOL

    Mkurugenzi Mtendaji na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya fedha wa Acacia wajiuzulu

    ACACIA MINING PLC - Management Changes Released : 02 Nov 2017 07:00:00 2 November 2017 THIS ANNOUNCEMENT CONTAINS INSIDE INFORMATION Acacia Mining plc (“Acacia” or the “Company” or the “Group”) Management Changes Acacia would like to advise the market that Brad Gordon, Chief Executive...
  3. ROFACOL

    Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

    Makapi wape chadema, vichwa toeni chadema leteni CCM
  4. ROFACOL

    Shime Wabunge wenzangu wa CCM twendeni tukamuone Mbunge mwenzetu Tundu Lissu Nairobi Tutamuogopa Mwenyekiti mpaka Lini?

    Kitendo tuu cha kumalizia kuwa ni Mimi mbunge wa chama cha mapinduzi, inadhihirisha dhahiri kuwa bado unamuogopa na wewe, huna ujasiri wa kuhamasisha wenzako. Taja jina
  5. ROFACOL

    Crane: Ndege anayesimama kama nembo ya taifa la Uganda

    Mi mwenyewe sijaelewa ulikuwa unataka kuelezea nini katika hadithi yako ambayo, kimsingi kama ilitaka kuenda mahali Fulani hivi, sema ikaishia hewani, sasa sijui kabla hujamalizia sentensi uliibiwa simu sijui ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  6. ROFACOL

    Kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Kenya

    Angalia live sasa hivi kesi hiyo mahakamani ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  7. ROFACOL

    Kama ningepata nafasi ya kuwa kwenye timu ya majadiliano na Barrick ningechangia mawazo haya

    Ukishasema ushuru wa huduma basi umekosea maana service levy hawadaiwi na serikali ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  8. ROFACOL

    Mbeya mabomu yarindima, Wafanya biashara wakatazwa kujenga Soko lililoungua

    Jeshi la Polisi limewazuia Wafanyabiashara wa Soko la SIDO wasijenge upya vibanda na maduka yao yalivyoteketea kwa moto Wafanyabiashara wa soko jipya lililoungua, wadai kuwa serikali ndiyo iliyounguza soko lao ili wahamie katika soko jipya lililojengwa na serikali la mwanjelwa, Pia...
  9. ROFACOL

    Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

    Mida hii ya sasa saa 3:51 usiku huu soko la sido(KABWE) mbeya vibanda vyake vinateketea kwa moto, chanzo cha moto bado hakijajulikana ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  10. ROFACOL

    Kansai Paint kujenga kiwanda cha rangi Tanzania

    Wazee wa kunyolewa bila wembe ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  11. ROFACOL

    Kisutu: Wafuasi 13 wa CUF watimua mbio baada ya kuachiwa huru, polisi yawakamata baadhi

    Lazima ukimbie maana unakuta hakuna anayekuja kukutetea mahakamani sasa walokutuma wameyeya kwanini kama umesamehewa na wewe usiyeye ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  12. ROFACOL

    Kisutu: Wafuasi 13 wa CUF watimua mbio baada ya kuachiwa huru, polisi yawakamata baadhi

    Hata Mimi nakimbia mazee ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  13. ROFACOL

    Uchambuzi wa The Citizen kuhusu majadiliano ya Acacia

    #Bringbackournoah# ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  14. ROFACOL

    Uchambuzi wa The Citizen kuhusu majadiliano ya Acacia

    Sana na wapo wengi ikiwemo mwandishi na wachangia mada wengi ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
  15. ROFACOL

    Uchambuzi wa The Citizen kuhusu majadiliano ya Acacia

    Jaman tumesha ambiwa na mkuu, kama tumeshindwa basi tutachimba wenyewe au tutaacha hadi tutakapopata akili ya kuchimba msipende kutulazimisha, kwani mbona wachimbaji wapo wengi sana kuwazidi hata hao barrick jamani ROmanus FAdhali COsmass Lengu(ROFACOL)
Back
Top Bottom