Recent content by RoDrick RaY

  1. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Afya, nitathibitishaje kama mimba ni yangu?

    Kama mpenzi kakwambia mimba ni yako bas jipange kulea mtoto wako bas Achana na habar zingne hazina afya kwa sasa Fanya mandalizi mwanao azaliwe katika mazingira mazuri
  2. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Huwezi zuia kila kitu sababu ukubariani nacho mda mwingne ni kutafta njia ya kuishi nacho
  3. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    Huwezi zuia kila kitu sababu ukubariani nacho mda mwingne ni kutafta njia ya kuishi nacho
  4. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kuagiza mafuta ya kula nje ya nchi ikiwa tuna uwezo wa kuzalisha mafuta nchini?

    Tunaweza zalisha mafuta ya kupikia Sisi wenyewe sawa atukatai shida ina kuja kwenye price bei ya kuuza hayo mafuta Mda mwingne kuzalisha kila kitu sio unjanja ila ujanja ni bei yawezekana kabsa tukazalisha mafuta ila ukakuta bei ya mafuta ya tz ni bei juu kuringanisha na yale yanatoka njee ya...
  5. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    Kwa maelezo mafupi, Kuna watu wa matumizi madogo hawa ni wale wanao tumia umeme wa shiling9,000 kwa mwezi Na kuna watu wa matumizi makubwa hawa utumia umeme wa elf10,000 na zaidi kwa mwezi Huyu mwenye matumizi madogo umeme wa elf9,000 anapata adi unit 50+ Wakat huyu wa matumizi makubwa umeme...
  6. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Sampuli ya wachimbaji wachache waliofanya kufufu ya kuchezea noti ndio sababu ya kuwanyima ruzuku mamilioni ya Watanganyika wanaohangaika maporini?

    Ni jambo la kawaida kabsa siku zote watu wachache ndo huaribia watu wengi Waislam wako 1.2 bilion dunia nzima ila waislam magaidi ni kama 10 million lakin hao magaidi wachache wamesababisha waisal wote wanaonekana wa hovyo Wachungaji wazuri dunian ni wengi sana ila wachungaji wachache kama kina...
  7. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Dunia inawapenda sana watu wa hovyo kuliko watu wa imani au watu walio nyooka kama unabisha bas fanya utafiti wako zen utaleta majibu
  8. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mamlaka Zote Zinatoka Kwa Mungu Mwenyewe. Huwezi Kuwa RAIS Kama Haijapangwa Na Mungu. Urais Wa Rais Samia Umetoka Kwa Mungu Mwenyewe

    Ata majambazi wauwaji pia wameumbwa kwa mfano wa Mungu au ujui ilo Binadamu wote tumeubwa kwa mfano wa Mungu na ata mamlaka vipaji vyote vimetoka kwaMungu So ata yule jambazi pia ametoka kwa Mungu Afu kama ulikua hujui Mungu huwabariki sana watu wanao fanya matendo ya hovyo
  9. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa kimwilli unachelewesha sana, nimewahi kwenda USA nikitokea Tanzania Katika roho na kurudi ndani ya saa chache

    Shida yako ndo umeanza kuvuta bangi afu kibaya zaidi bangi ina kucontrol Wavuta bangi wengi kipindi tuna anza kuvuta tulitokewa na hali kama yako ila baada ya muda na kujitambua mambo yakabadirika so jitaid sana uicontrol bangi yako
  10. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani hasa kinachofanya ndoa idumu kwa muda mrefu? Je ni imani, upendo, uvumilivu, kuelewana, maandalizi ya akili, au kuna kitu kingine cha msi

    Mi nimekuja kujifunza kitu ili ndoa idumu wanaume unapaswa kujishusha sana Mwanaume unatakiwa uwe mtu wa maneno machache sio mtu wa kubishana kila jambo na mke wako Kitu cha msingi kwa mwanaume ni kuhakikisha ile heshima yake nyumban haishuki na pia kutekeleza majukumu yote ya familia kama...
  11. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Tajiri wa Katoro ana akili ya kutafuta Pesa lakini hana akili ya maisha

    achaneni kubishana ujinga jadirini maneno ya raisi na impact zake kwa sekta ya madini Mbona mnakua wajinga mnatoka njee ya mada Inatakiwa tuulizane kama ma great thinker endapo serikal itaongoa misaada au ruzuku kwenye sekta ya madini ni hasara gan zitatokea je ni watu gan wata asilika zaidi...
  12. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Shemeji yenu Kanasa Ujauzito,sikuwa na mpango wa kuzaa naye

    Sasa unataka ushauri gani zaidi ya kumshauri au kumrubuni shemeji atoe mimba Achana na mambo ya dhambi maana zambi kila mtu anazo so komaa nae atoe mimba bas Ni bora atoe mimba kuriko kuzaa na mtu ambae ukuwa na future nae Lakin na ww nae pia ni fala tena fala sana kwann ukutumia kondomu...
  13. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Mi nko tik tok ila nashukuru Mungu tiktok yangu akuna habari yoyote ya kitanzania Kwa ufupi akuna trend wala habari ya kitanzania naipata tik tok na km ikitokea kwa bahat mbaya nai block au nai toa sko interest nazo Tena kama habari za wasanii ndo sizijui kabsaa ata nyimbo zao mpya za...
  14. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Members wa JF baadhi wanafiki sana, wanajifanyaga wako sayari nyingine

    Mi nko tik tok ila nashukuru Mungu tiktok yangu akuna habari yoyote ya kitanzania Kwa ufupi akuna trend wala habari ya kitanzania naipata tik tok na km ikitokea kwa bahat mbaya nai block au nai toa sko interest nazo Tena kama habari za wasanii ndo sizijui kabsaa ata nyimbo zao mpya za...
  15. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan ajengewe sanamu katika majiji yote nchini Tanzania

    Wafanyakazi wanapokea mishahara kwa mafungu wengne adi tarehe 28 walikua bado hawajalipwa mishahara yao Bajeti ya serikal imetoka kwenye makaratasi ila kwenye account pesa hazijaingia wadhabuni tuna dai tasisi za serikal pesa za mwezi wa5 hazijatoka adi saiv mwezi wa8 bado atujalipwa Sa sjui...
Back
Top Bottom