Recent content by RoDrick RaY

  1. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Shilingi imegeuka: Siku hizi wanawake wanateseka mnoo kwenye mahusiano

    Ww unaongelea videmu ila sio wanawake
  2. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Tunatumia muda mwingi kujadili maisha ya watu badala tujikite kwenye uzalishaji: makosa ya wazazi wako yasiathiri wengine.

    Kwan ww ukijikita kwenye uzalishaji nani kakukataza ww ni fala nn Acha kupangia watu maisha ww kama unaweza kuzalisha bas zalisha wauzie hao wanao kaa na kujadiri maisha ya watu Kwanza mfanya biashara mwenye akili hutumia fulsa sasa kama ww unaona wenzako wamelala ww amka na utumie iyo fulsa...
  3. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Wacha watupunguzie competition
  4. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Wacha maelezo mengi alie tufikisha huku ni magufuli mzee wa chato yule fala Maana ata kipind cha mkapa au JK katiba ilikua ni hii hii na maisha yalienda ila baada ya magufuri kuingia ndo chanzo cha mattzo meng kuanza Katiba ilikua mbaya ila viongozi walikua na uwoga na aibu na hawakutaka...
  5. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Dada ni mzuri, amesoma ana degree. Ila hana akili

    Ni kwel kabsa uyo hana akili na kama angelikua na akili ange bolt lakin pia sku izi safiri za kukodi ni nyingi angepanda
  6. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mtoka Amerika aliyekamatwa intel yake iliuzwa na aliyeenda kumkaribisha

    Aya yote yana mwisho japo watanganyika ni wajinga sana ila ipo sku Uokovu sio lazma utoke ndan unaweza toka ata njee
  7. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Wanawake hamjui nini mnataka wala mnapenda so wacha palalila
  8. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu katika Halmashauri ya Mkalama tulioajiriwa Januari 2026, tumelipwa hela za kujikimu pungufu

    Nyie ndo huwa mnapewa kazi za usimamizi kipindi cha uchaguzi na kushirikiana na serikal kuiba na kuvutuga uchaguzi
  9. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Ameshindwa kupigania katiba mpya akiwa ndani ya system matokeo yake ndo hayo Afu si nlikuaga naskia nchimbi alikua msoja tena vyeo vya juu wengne wakaenda mbali na kusema nchimbi alikua kachelo wa serikal sasa inakuaje anaweka house arrest unataka sema alikua hana watu wa kumpigania Mnataka...
  10. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Wako sawa maana kuzaa mtoto mweupe sio lazma baba awe mweupe Ushauri wangu watafute wanaume weusi ambao wazazi wao ni weupe hii itachangia sana na wao kuzaa watoto weupe
  11. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Nani unamwona kama Great Thinker hapa JF?

    Mimi ni mmoja wao shida labda ni wadau wanashindwa kuelewa nini naeleza ama nini msimamao wangu Asante
  12. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Ualimu Morogoro hatujapewa pesa za kujikimu hadi sasa

    Kwaiyo walio kuajiri wako jamii forum
  13. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana aua askari wa JW/kunduchi

    Ndo shida ya kuajiri watu kwa connection na mishahara Uyo ni mwanajeshi au ndo wale wanaofata mishahara mizuri kisa mjomba au baba ni mwanajeshi Angekufa raia ningeumia na ninge sapoti posti yako ila kwakua ni mwanajeshi bas nasema iv malipo ni hapa hapa dunian
  14. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Kozi ambazo mwanao akienda kusomea chuo ujue anapoteza tu muda

    Akuna elimu mbaya wala kozi mbaya cha msingi ni matokeo bora na kujenga connection na watu Tz kozi zote bado ni deal cha msingi ni kutafuta mahusiano mazuri na watu kaz zipo
  15. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Ujinga tutaacha lini?

    Ww posti bana achana na habari za kike kwa unavyojielezea tu inaonesha wewe ni mwanamke
Back
Top Bottom