Recent content by RoDrick RaY

  1. RoDrick RaY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mjichunguze harufu mbaya ukeni

    Tumia kondomu sometimes shahawa nazo pia huwa zinanuka Na pia achana na condom za bei nafuu nazo pia zina nuka km ulkua ujui
  2. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

    Inawezekana usiwaamini wazungu wa sayansi bas amini bible Fanya tu mfano mdogo Adam aliumbwa lini? Na baada ya upweke wa Adam akaubwa hawa je ni baada ya mda gan? Je mtu kama nuhu na safina yake ilitokea mda gan baada ya adam na hawa ? Je ibrahim adi ujio wa yesu walitofautiana miaka mingap...
  3. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mlinzi Maarufu wa Hayati Dkt Magufuli atua Kibabe Urusi katika Msafara wa Rais Samia. Amekuwa kivutio Mitandaoni wakati akisalimiana na Rais Samia

    Uko vizuri kwenye uandishi wako hongera kwa hilo Shida ni moja una akili kubwa ila unaitumia vibaya
  4. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Urusi kitakacho Mtunuku PhD Samia Suluhu, kina hadhi kama Amazon Collage au SUZA ya Zanzibar

    Wacha mbambamba bana kwan una athirika nn bi msumi kupewa vyeti Wacha apewe vyeti labda ndo kitu pekee anachoweza kufanya kwa usahihi
  5. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Kwani siku hizi msiba na sadaka ni madeni?

    Timiza wajibu wako, akuna cha lazima wala ombi ww lipa madeni yako km mwanajamii Sizan km ulikua hujui uwo utaratiba ukwel ni kwamba unajua uwo utaratibu na pindi mnaupanga ww binafsi au familia yako ilishiriki kuupanga so wacha drama lipa share yako
  6. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya Halmashauri ya Itigi tunafanya kazi Mazingira Magumu

    Unatakiwa utafutwe ufukuzwe kazi maana ww ni mpumbavu na mjinga sana Matatizo ya kazin ni masuala binafsi kati yako na mwajiri wako sasa unapo kuja kuyaleta mtandaoni una maana gan unataka kuichafua taasisi unayo fanyia kaz, Unataka kuichafua halimashauri ya itigi Changamoto za kazini ni...
  7. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Kuna mambo mengne huwa ni kuyaangalia tu ila ukitaka majibu kamili ni ngumu maana kila mtu ana maoni yake fikla zake na mira na desturi zake
  8. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Ata kusoma comment pia ni mchango tosha
  9. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mama kwenda ziara Urusi ni tumekuwa loosers

    duuh aisee tupunguze chuki na kuhoji kila kitu,
  10. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Andiko la mchekeshaji Shafii, limeniumiza sana mimi kama kijana

    Mzazi na familia ndo zinajua kipi ni sawa kwa mwanao sasa mnataka tufanye nn sisi wana nzengo. Wazazi wameamua acheni binti yao aende sehemu ambayo wao wanahisi ni salama kwa mwanao bas ayo mambo ya binti kulia ni suala la muda tu atalia atachoka na akimaliza atampikia mmewe chakula na unyumba...
  11. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania KERO Haya mafataki yanayopigwa karibu na Mlimani City mida ya usiku ni usumbufu mkubwa. Nimemuonea huruma sana huyu mzee

    Kuna msemo unasema kila mtu na shida zake Dunian kila mtu ana haki zake sasa unataka watu wasifurahie mafanikio yako kisa kelele au mzee mgojwa Km usingizi wako na ugonjwa wa uyo mzee vingekua vya maana sana serikal na polisi wasingetoa vibari vya kupiga fataki Yan kuna watu huwa mnahisi...
  12. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Mama tukubali kawa mzigo kwa Tanzania!

    Kwa sasa ningekushauri tu kujali familia yako na kujali uchumi wa familia yako Kwa ufupi jenga ukuta mkubwa sana kulinda familia yako ktk kila situation inayokuja mbele, naposema ukuta simaanishi ukuta wa matofari namaanisha ulizi wa familia yako Namaanisha jitaid familia yako wale wa wakati...
  13. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Ukipata nafasi, nenda ukale chakula kwa Mama Ntilie, utabarikiwa

    Kama baraka ipo bas ipo tu uko unako taka kutufundisha ni uchawi tu
  14. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi wateja kuuziwa vifungashio baada ya kununua bidhaa tena za pesa kubwa tu?

    Ndugu sizan kama kuna haja ya kutumia nguvu zako kudiscuss vitu vidgo km ivyo najua inakuboa sio ww tu ata sisi kinatukera sana ila sasa utafanyaje? Na hii tabia iko sana masokoni unaenda sokon una fanya maemezi ata ya 100k tena kwa mtu mmoja ukimaliza muuzaji anakuuliza una mfuko unabaki tu...
  15. RoDrick RaY

    JamiiForums Tanzania Je, kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti?

    Unamiliki simu kubwa na kizuri kabsa bando unalo ndo maana umeandika uzi humu, why usitumie nguvu iyo kuingia google na youtube nadhani uko ungepata majbu mazuri sana Sizan km kisiki kingekua na dawa ya kukiozesha sizan km kuna mtu angelipanpesa watu waje kuondoa sizan km mashuleni wangekitumia...
Back
Top Bottom