Inawezekana usiwaamini wazungu wa sayansi bas amini bible
Fanya tu mfano mdogo Adam aliumbwa lini? Na baada ya upweke wa Adam akaubwa hawa je ni baada ya mda gan?
Je mtu kama nuhu na safina yake ilitokea mda gan baada ya adam na hawa ?
Je ibrahim adi ujio wa yesu walitofautiana miaka mingap...
Timiza wajibu wako, akuna cha lazima wala ombi ww lipa madeni yako km mwanajamii
Sizan km ulikua hujui uwo utaratiba ukwel ni kwamba unajua uwo utaratibu na pindi mnaupanga ww binafsi au familia yako ilishiriki kuupanga so wacha drama lipa share yako
Unatakiwa utafutwe ufukuzwe kazi maana ww ni mpumbavu na mjinga sana
Matatizo ya kazin ni masuala binafsi kati yako na mwajiri wako sasa unapo kuja kuyaleta mtandaoni una maana gan unataka kuichafua taasisi unayo fanyia kaz,
Unataka kuichafua halimashauri ya itigi
Changamoto za kazini ni...
Mzazi na familia ndo zinajua kipi ni sawa kwa mwanao sasa mnataka tufanye nn sisi wana nzengo.
Wazazi wameamua acheni binti yao aende sehemu ambayo wao wanahisi ni salama kwa mwanao bas ayo mambo ya binti kulia ni suala la muda tu atalia atachoka na akimaliza atampikia mmewe chakula na unyumba...
Kuna msemo unasema kila mtu na shida zake
Dunian kila mtu ana haki zake sasa unataka watu wasifurahie mafanikio yako kisa kelele au mzee mgojwa
Km usingizi wako na ugonjwa wa uyo mzee vingekua vya maana sana serikal na polisi wasingetoa vibari vya kupiga fataki
Yan kuna watu huwa mnahisi...
Kwa sasa ningekushauri tu kujali familia yako na kujali uchumi wa familia yako
Kwa ufupi jenga ukuta mkubwa sana kulinda familia yako ktk kila situation inayokuja mbele, naposema ukuta simaanishi ukuta wa matofari namaanisha ulizi wa familia yako
Namaanisha jitaid familia yako wale wa wakati...
Ndugu sizan kama kuna haja ya kutumia nguvu zako kudiscuss vitu vidgo km ivyo najua inakuboa sio ww tu ata sisi kinatukera sana ila sasa utafanyaje?
Na hii tabia iko sana masokoni unaenda sokon una fanya maemezi ata ya 100k tena kwa mtu mmoja ukimaliza muuzaji anakuuliza una mfuko unabaki tu...
Unamiliki simu kubwa na kizuri kabsa bando unalo ndo maana umeandika uzi humu, why usitumie nguvu iyo kuingia google na youtube nadhani uko ungepata majbu mazuri sana
Sizan km kisiki kingekua na dawa ya kukiozesha sizan km kuna mtu angelipanpesa watu waje kuondoa sizan km mashuleni wangekitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.