Kama mpenzi kakwambia mimba ni yako bas jipange kulea mtoto wako bas
Achana na habar zingne hazina afya kwa sasa
Fanya mandalizi mwanao azaliwe katika mazingira mazuri
Tunaweza zalisha mafuta ya kupikia
Sisi wenyewe sawa atukatai shida ina kuja kwenye price bei ya kuuza hayo mafuta
Mda mwingne kuzalisha kila kitu sio unjanja ila ujanja ni bei yawezekana kabsa tukazalisha mafuta ila ukakuta bei ya mafuta ya tz ni bei juu kuringanisha na yale yanatoka njee ya...
Kwa maelezo mafupi, Kuna watu wa matumizi madogo hawa ni wale wanao tumia umeme wa shiling9,000 kwa mwezi
Na kuna watu wa matumizi makubwa hawa utumia umeme wa elf10,000 na zaidi kwa mwezi
Huyu mwenye matumizi madogo umeme wa elf9,000 anapata adi unit 50+
Wakat huyu wa matumizi makubwa umeme...
Ni jambo la kawaida kabsa siku zote watu wachache ndo huaribia watu wengi
Waislam wako 1.2 bilion dunia nzima ila waislam magaidi ni kama 10 million lakin hao magaidi wachache wamesababisha waisal wote wanaonekana wa hovyo
Wachungaji wazuri dunian ni wengi sana ila wachungaji wachache kama kina...
Ata majambazi wauwaji pia wameumbwa kwa mfano wa Mungu au ujui ilo
Binadamu wote tumeubwa kwa mfano wa Mungu na ata mamlaka vipaji vyote vimetoka kwaMungu
So ata yule jambazi pia ametoka kwa Mungu
Afu kama ulikua hujui Mungu huwabariki sana watu wanao fanya matendo ya hovyo
Shida yako ndo umeanza kuvuta bangi afu kibaya zaidi bangi ina kucontrol
Wavuta bangi wengi kipindi tuna anza kuvuta tulitokewa na hali kama yako ila baada ya muda na kujitambua mambo yakabadirika so jitaid sana uicontrol bangi yako
Mi nimekuja kujifunza kitu ili ndoa idumu wanaume unapaswa kujishusha sana
Mwanaume unatakiwa uwe mtu wa maneno machache sio mtu wa kubishana kila jambo na mke wako
Kitu cha msingi kwa mwanaume ni kuhakikisha ile heshima yake nyumban haishuki na pia kutekeleza majukumu yote ya familia kama...
achaneni kubishana ujinga jadirini maneno ya raisi na impact zake kwa sekta ya madini
Mbona mnakua wajinga mnatoka njee ya mada
Inatakiwa tuulizane kama ma great thinker endapo serikal itaongoa misaada au ruzuku kwenye sekta ya madini ni hasara gan zitatokea je ni watu gan wata asilika zaidi...
Sasa unataka ushauri gani zaidi ya kumshauri au kumrubuni shemeji atoe mimba
Achana na mambo ya dhambi maana zambi kila mtu anazo so komaa nae atoe mimba bas
Ni bora atoe mimba kuriko kuzaa na mtu ambae ukuwa na future nae
Lakin na ww nae pia ni fala tena fala sana kwann ukutumia kondomu...
Mi nko tik tok ila nashukuru Mungu tiktok yangu akuna habari yoyote ya kitanzania
Kwa ufupi akuna trend wala habari ya kitanzania naipata tik tok na km ikitokea kwa bahat mbaya nai block au nai toa sko interest nazo
Tena kama habari za wasanii ndo sizijui kabsaa ata nyimbo zao mpya za...
Mi nko tik tok ila nashukuru Mungu tiktok yangu akuna habari yoyote ya kitanzania
Kwa ufupi akuna trend wala habari ya kitanzania naipata tik tok na km ikitokea kwa bahat mbaya nai block au nai toa sko interest nazo
Tena kama habari za wasanii ndo sizijui kabsaa ata nyimbo zao mpya za...
Wafanyakazi wanapokea mishahara kwa mafungu wengne adi tarehe 28 walikua bado hawajalipwa mishahara yao
Bajeti ya serikal imetoka kwenye makaratasi ila kwenye account pesa hazijaingia wadhabuni tuna dai tasisi za serikal pesa za mwezi wa5 hazijatoka adi saiv mwezi wa8 bado atujalipwa
Sa sjui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.