Nimeishi sqna waislqm kamq mqjorani na marafiki, wengi tumeahirikiana nao vizuri ila kuna hawa wengine sijui wametokea wapi kutwa kukashifu wakiristo halafu wanaokashifi wengi maisha yao ni duni
Soko litaendelea kuwatesa wakulima kama hatuna viwanda vyetu wenyewe. Hii ndio hasara ya kuuza kitu ambacho hakijachakatwa, hivi unafikiri bei ya chocolate itashuka sababu bei ya cocoa imeshuka.
Kabla hata ya uchaguzi kulikuwa na mazungumzo kati ya chadema na ccm chini ya Mwalimu Nyerere Foundation, mazungumzo yalivunjika baada ya Samia kumbambikia keai ya uhaini Tundu Lissu hapo chadema wakaona ccm hawqna nia ya maridhiano.
Watu wengi wanafikiri kumwachoa Tundu Lissu ili maridhiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.