Recent content by rodrick alexander

  1. R

    Ni aibu kwa Serikali kwa Mashirika ya Umma karibu yote kupata hasara

    Yule mkwe wa rais atadai na hizi hasara zimetoka kwa serikali ilitopita
  2. R

    Ni aibu kwa Serikali kwa Mashirika ya Umma karibu yote kupata hasara

    Atcl badala ya ndege kufanya kazi zinambeba rais na wapambw wake kuzunguka. Ttcl haziwezi kupata faida Kama Rostam yupo pembeni ya rais na Rtc makampuni yote hayo wanayatengenezea hasara ili wajiuzie.
  3. R

    Hivi ndivyo watoto wa Gaza wanavyokufa kwa njaa wakati chakula kimezuiliwa kuwafikia

    Halafu wanatuletea chakula cha virutubisho badala ya kupeleka gaza
  4. R

    Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

    Inawezekana wamemkatalia kumiliki Simba , Ila mo amezoea kupelekesha serikali dhaifudhaifu, akishindwa kufunga kipindi anatekwa Leo kaona Kuna udhaifu anataka autumie
  5. R

    Hotuba ya Freeman Mbowe kwenye Msiba wa Sabodo imefichua mengi ambayo tulifichwa

    Tatizo mnapenda kukosoila hampendi kukosolewa
  6. R

    LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Manatuharibia uzi na habari zenu za isis, si mfungue Uzi mpya kuwazungumzia
  7. R

    Hotuba ya Freeman Mbowe kwenye Msiba wa Sabodo imefichua mengi ambayo tulifichwa

    Hotuba nzuri tumeanza kuzisikia toka enzi ya Nyerere, Mbowe aeleze msaada wa fedha waliopewa na marehemu kuchimba visima na kujengea ofisi walipelekwa wapi?
  8. R

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Kwanza elewa Kuna biashara na huduma, mwendokasi ni huduma ndio maana nauli inapangwa na taasisi za serikali. Kazi ya mwendokasi ni kuwachukua abiria kwa wakati na kuwapeleka sehemu husika ili wazalishe serikali ipate Kodi. Mwendokasi inatakiwa iondoke hata na abiria wawili kitu ambacho...
  9. R

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Hakuna hata moja ya nchi ulizotaja usafiri wa umma kuendeshwa na sekta binafsi Tena england walijaribu kumpa mtu binafsi wakamnyang'anya
  10. R

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Nitajie nchi ambayo usafiri wa umma inaendeshwa na sekta binafsi
Back
Top Bottom