Recent content by rodrick alexander

  1. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Bandari wanazuia mizigo ya watu kama bidhaa ulizoleta zinafanana na za tajiri fulani

    Kuna kipindi ream za karatasi zilipanda sana bei na hiyo ilikuwa sababu.
  2. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Wale waliouawa wakiwa majumbani, watoto wadogo na walioambiwa wapelekwe mochwari wakiwa na majeraha ilikuwaje.
  3. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mtoto wa Dkt. Salmin Amour Anavyowatapeli Wawekezaji, Kuuza Maeneo ya Familia na Kuisingizia Serikali! Polisi Zanzibar Mnasubiri Nini?

    Nyie mbona mnauza maeneo ya Tanganyika kuanzia arshi, bandari hadi mbuga.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Kuna yule aliyekosa penati ya kwanza yaani kanyoa ndevu mapele kibao kuna kashifa itakuja huko mbele.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya waislamu wako obsessed sana na dini ya kikristo angali wakristo wengi hawana shida na wao?

    Nimeishi sqna waislqm kamq mqjorani na marafiki, wengi tumeahirikiana nao vizuri ila kuna hawa wengine sijui wametokea wapi kutwa kukashifu wakiristo halafu wanaokashifi wengi maisha yao ni duni
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kyela: Kuporomoka kwa bei ya Kokoa kutoka elfu 25 hadi elfu 5 kumesabanishwa na nini?

    Soko litaendelea kuwatesa wakulima kama hatuna viwanda vyetu wenyewe. Hii ndio hasara ya kuuza kitu ambacho hakijachakatwa, hivi unafikiri bei ya chocolate itashuka sababu bei ya cocoa imeshuka.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kuporwa kwa uwanja wa michezo wa Sahara uliopo Ubungo ni uthibitisho tosha la jinsi wananchi wanavyokosa watetezi wa haki

    Labda tuanzishe mada maalumu kuhusu uporaji wa viwanja kwa sababu sio mabibo bali ni Dar es salaam nzima maeneo ya wazi yanaporwa.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Watu wa DSM badilikeni, si uungwana kubaki kwenye bajaji iliyoisha mafuta na kumuacha dereva aisukume mpaka sheli

    Unasukuma bajaji wakati umetoa nauli, hivi ukisukuma dereva atakupunguzia nauli.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Ukiangalia toka Karume aanze kutawala wamejaa ukatili.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka vituko vya utawala wa Idd Amin Dada kwenye utawala wake

    Kutaka kumwoa malkia ni kosa.
  11. R

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva wa mwendokasi terminal ya Kivukoni wanachelewa kuondoka bila sababu za msingi

    Mwendokasi sio kampuni ya kuendeshwa na watu binafsi, ile ni huduma lakini wanavuta muda ili abiria wajae.
  12. R

    JamiiForums Tanzania KERO Madereva wa mwendokasi terminal ya Kivukoni wanachelewa kuondoka bila sababu za msingi

    Wawindaji kama wewe huko Kenya kila siku wanaenda ulaya, marekani, japan kuvuna madola kwenye marathon wakati wewe unajisifu kukakamaa miguu.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Takribani watu 50 wamekufa kwa kiu katika Jangwa la Sahara baada ya lori kuharibika

    Huo ni uzembe mkubwa wa dereva na abiria, unatembea jangwani unashindwa kuwa na akiba ya maji ya kutosha.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kanuni za Kiislamu za Wanawake Ku shake Hand na Wanaume Zinazingatiwa Tanzania tu na sio Russia

    Kama tunazingatia uislam mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Nilichomwambia Rais Samia kabla ya uchaguzi Wa Oktoba 2025: CCM ikikaa meza moja ya mazungumzo na CHADEMA, utakuwa ni ushindi kwa Watanzania wote

    Kabla hata ya uchaguzi kulikuwa na mazungumzo kati ya chadema na ccm chini ya Mwalimu Nyerere Foundation, mazungumzo yalivunjika baada ya Samia kumbambikia keai ya uhaini Tundu Lissu hapo chadema wakaona ccm hawqna nia ya maridhiano. Watu wengi wanafikiri kumwachoa Tundu Lissu ili maridhiano...
Back
Top Bottom