Siku nyingine ukitaka kuleta taarifa fanya uchambuzi kikamilifu na sio kutuletea matango pori. Hivi unafahamu migodi ya shaba kwa sasa inamilikiwa na nani?
wamezoea kubebwa hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo mechi na simba alimtisha mshika kibendera ndio maana alikataa goli halali lakini wakampa man of the match pamoja na kupoteza muda.
Mechi na TRA alirudia hivyohivyo na leo alifanya hivyo.
Mechi ya kwanza na Mtibwa alipiga mtu kiwiko lakini...
utakuwa na asili ya uchoyo na wala sio mwislamu bali umezaliwa na wazazi waislamu.
Waislamu na wakiristo wamekuwa wakishirikiana kipindi kirefu sana na hakuna anayefosi mwaliko.
Ili mwajili wako aweze kukupandishia mshahara hasa kwa sekta binafsi ni lazima ahahakikishe na yeye anaingiza kipato cha kukidhi gharama za mshahara wako na kupata faida.
Mwajiri yupo sahihi hayo mapendekezo yametolewa kisiasa bila kuangalia faida.
Kama tunategemea Dr. Dorocy Gwajima apambane na ushoga tutakuwa tunamtwikwa mzigo mzito sana na kamwe hatafanikiwa.
Ili kupambana na ushoga inabidi tuanzie kwenye vyanzo ambavyo ni ukatili wa kijinsia na kushuka kwa maadili na mambo hayo yanatakiwa yaanzie ngazi ya familia.
Mashoga tunaishi nao...
Huyo Balozi aliwaita sababu kawaona mazuzu hivi mnajua kuna watu wangapi wanateseka Drc Kongo na Sudan sababu ya vita ila anaacha kuwaonyesha anaonyesha athari ya vita ya Ukraine na Urusi vita ambayo imetengenezwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.