Recent content by rodrick alexander

  1. R

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Sehemu ilikuwa rafiki
  2. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JayRutty kusitisha mkataba na Simba mwisho wa msimu huu

    Mo anaingia kwenye historia ya matapeli wakubwa walioingia kwenye mpira.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi: JayRutty kusitisha mkataba na Simba mwisho wa msimu huu

    Inaweza kuwa tetesi ila kuna ukweli ndani yake. Mo na genge lake hawapendi sifa anazopewa Jayruty sababu Usajili wa dirisha dogo pamoja na Jayruty kusajili mchezaji mmoja na kuwapa magari mapya wachezaji wa Simba sifa nyingi zilienda kwake hadi Magori akatoka kusema wachezaji wanasajiliwa na...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Nina jamaa yangu tangu nimjue hajawahi kuwahi tukikutana. Hii inasababishwa na nini wakuu?

    Nina jamaa yangu ana tabia kama hiyo mpaka nimewaza labda tunamzungumzia mtu mmoja, tukiwa tunafanya submission za tenda lazima achelewe mpaka nikawa namdanganya kama tenda zinaenda ijumaa mimi namwambia deadline ni jumatano, ila ni tabia mbovu ambazo ndani yake kuna dharau.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Labda unaweza kusema tatizo unaloona upande wako
  6. R

    JamiiForums Tanzania Tetesi za kuachwa loemba na siasa za Mo

    Nakumbushia
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ng'ombe aina ya Girolando mvumilivu wa magonjwa na anayetoa maziwa mengi

    Inawezekana wapo ila nazungumzia uwezo wao wa kuzalisha kulinganisha na wa Brazil
  8. R

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Simfichii chochote ndio maana nataka awajibike kwa kusema anatumia busara badala ya kufata sheria.
  9. R

    JamiiForums Tanzania TEC sitisheni mara moja mpango wa kumfanya Nyerere Mtakatifu, ni jambo la hasara zaidi kuliko faida.

    Wana taratibu ndio maana hawakumtangaza moja kwa moja bali wamefanya mchakato, kama una maoni unaweza kuyapeleka kunakohusika.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Naye pia aondoke badala ya kusimami katiba anatumia busara hizo ni siasa zisizo na faida kwa Simba pia zinatengeneza migogoro isiyo na faida.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kipa atatupa sare nyingi sana, kwa huyu straika ni bora Mstaafu John Bocco arudishwe tena kikosini

    Magori ndio anajifanya yeye ndio kila kitu, baada ya usajili wa diriaha dogo kuwa mzuri alitaka yeye na mo ndio wapate sifa. Ahmed Ally anamsifia kwa kumleta kibabage hovi mchezaji kama kibabage ndio unategemea atakubeba kimataifa. Simba ilikuwa na mawinga wa kutosha lakini haikuwa na namba tisa...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa mo kuiachia Simba!

    Mo ataondoka ni swala la muda pamoja na kulipa chawa wake wadau wa Simba wameshajua tatizo ni nini
  13. R

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Tuongelee madhaifu ya uongozi wetu, tatizo pesa ipo bank
  14. R

    JamiiForums Tanzania Huenda Magori ni Pandikizi la Yanga pale msimbazi?

    Unasema Madrid baada ya kufungwa walikaa chini wakaleta kocha bora na kusajili wachezaji bora hili unaona linafanyika Simba. Kina Doumbia, Mwanfosi ni wachezaji bora.
Back
Top Bottom