Recent content by rodrick alexander

  1. R

    Iran imeangisha F-35 na kuharibu ndegevita 60 za USA kwa siku moja

    Hii vita imejaa sana propaganda kwa pande zote
  2. R

    Zambia-an interesting country!

    Siku nyingine ukitaka kuleta taarifa fanya uchambuzi kikamilifu na sio kutuletea matango pori. Hivi unafahamu migodi ya shaba kwa sasa inamilikiwa na nani?
  3. R

    Djigui Diara ni Golikipa mzuri lakini amekuwa na nidhamu mbovu

    wamezoea kubebwa hii sio mara ya kwanza kufanya hivyo mechi na simba alimtisha mshika kibendera ndio maana alikataa goli halali lakini wakampa man of the match pamoja na kupoteza muda. Mechi na TRA alirudia hivyohivyo na leo alifanya hivyo. Mechi ya kwanza na Mtibwa alipiga mtu kiwiko lakini...
  4. R

    Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    mmeshaanza kutoa milio juzi Tabora kanyimwa enati hakusema chochote, Zanzibar refa aliwaokoa hamkusema chochote
  5. R

    Upande wa pili Wanafosi mwaliko kwanini

    utakuwa na asili ya uchoyo na wala sio mwislamu bali umezaliwa na wazazi waislamu. Waislamu na wakiristo wamekuwa wakishirikiana kipindi kirefu sana na hakuna anayefosi mwaliko.
  6. R

    KERO Serikali imesema tuongezwe mishahara lakini Fanikiwa Microfinance inatuongezea 'target ya kufikisha'

    Ili mwajili wako aweze kukupandishia mshahara hasa kwa sekta binafsi ni lazima ahahakikishe na yeye anaingiza kipato cha kukidhi gharama za mshahara wako na kupata faida. Mwajiri yupo sahihi hayo mapendekezo yametolewa kisiasa bila kuangalia faida.
  7. R

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Kama tunategemea Dr. Dorocy Gwajima apambane na ushoga tutakuwa tunamtwikwa mzigo mzito sana na kamwe hatafanikiwa. Ili kupambana na ushoga inabidi tuanzie kwenye vyanzo ambavyo ni ukatili wa kijinsia na kushuka kwa maadili na mambo hayo yanatakiwa yaanzie ngazi ya familia. Mashoga tunaishi nao...
  8. R

    Kwa gharama hizi ndio maana majengo Kenya yanaporomoka

    Ujenzi wa Tanzania umejaa uongouongo, injinia anajenga majengo mawili kwa jengo moja ndio maana mnashangaa
  9. R

    Uuuuwiii! Kumbe kuna maandalizi ya 'Maridhiano Day'?

    Wataridhiana na machawa wao
  10. R

    Ubalozi wa Poland Tanzania waonesha athari za Vita ya Urusi na Ukraine kupitia filamu, yamtaka Rais Putin kusitisha vita

    Huyo Balozi aliwaita sababu kawaona mazuzu hivi mnajua kuna watu wangapi wanateseka Drc Kongo na Sudan sababu ya vita ila anaacha kuwaonyesha anaonyesha athari ya vita ya Ukraine na Urusi vita ambayo imetengenezwa.
  11. R

    Tetesi: Rais kuwa mgeni rasmi kwenye mechi ya Yanga na Simba huko Zanzibar

    Ndicho walicholenga kupeleka kila senti ya Tanganyika huko Zanzibar, Simba wangeweza kugoma ila timu inaongozwa kisiasa zaidi
  12. R

    Man attempts sea suicide at night after catching wife cheating on video call

    Angekufa tu kupunguza idadi ya wanaume wapumbavu
  13. R

    Botswana’s President Declines Washington Invitation

    wakati nchi nyingine wanapaata viongozi wenye uchungu na mali zao huku viongozi wanawaza kuuwa watu ili watawale waibe.
Back
Top Bottom