Inaweza kuwa tetesi ila kuna ukweli ndani yake.
Mo na genge lake hawapendi sifa anazopewa Jayruty sababu
Usajili wa dirisha dogo pamoja na Jayruty kusajili mchezaji mmoja na kuwapa magari mapya wachezaji wa Simba sifa nyingi zilienda kwake hadi Magori akatoka kusema wachezaji wanasajiliwa na...
Nina jamaa yangu ana tabia kama hiyo mpaka nimewaza labda tunamzungumzia mtu mmoja, tukiwa tunafanya submission za tenda lazima achelewe mpaka nikawa namdanganya kama tenda zinaenda ijumaa mimi namwambia deadline ni jumatano, ila ni tabia mbovu ambazo ndani yake kuna dharau.
Magori ndio anajifanya yeye ndio kila kitu, baada ya usajili wa diriaha dogo kuwa mzuri alitaka yeye na mo ndio wapate sifa.
Ahmed Ally anamsifia kwa kumleta kibabage hovi mchezaji kama kibabage ndio unategemea atakubeba kimataifa.
Simba ilikuwa na mawinga wa kutosha lakini haikuwa na namba tisa...
Unasema Madrid baada ya kufungwa walikaa chini wakaleta kocha bora na kusajili wachezaji bora hili unaona linafanyika Simba. Kina Doumbia, Mwanfosi ni wachezaji bora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.