Atcl badala ya ndege kufanya kazi zinambeba rais na wapambw wake kuzunguka.
Ttcl haziwezi kupata faida Kama Rostam yupo pembeni ya rais na Rtc makampuni yote hayo wanayatengenezea hasara ili wajiuzie.
Inawezekana wamemkatalia kumiliki Simba , Ila mo amezoea kupelekesha serikali dhaifudhaifu, akishindwa kufunga kipindi anatekwa Leo kaona Kuna udhaifu anataka autumie
Hotuba nzuri tumeanza kuzisikia toka enzi ya Nyerere, Mbowe aeleze msaada wa fedha waliopewa na marehemu kuchimba visima na kujengea ofisi walipelekwa wapi?
Kwanza elewa Kuna biashara na huduma, mwendokasi ni huduma ndio maana nauli inapangwa na taasisi za serikali.
Kazi ya mwendokasi ni kuwachukua abiria kwa wakati na kuwapeleka sehemu husika ili wazalishe serikali ipate Kodi.
Mwendokasi inatakiwa iondoke hata na abiria wawili kitu ambacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.