Nilikuwa nimenunua receiver ya DVB hizi zinazopokea FTA channels na pia tyar nina hizi digital decoder za kulipia. Ila wazo langu nilikuwa nafikiria tu niwe na dish ambalo mtu akiona atajua tu hili dish sio la azam au dstv. Ila kwa sasa naona ninunue tu hilohilo kama ulivyoelekeza mkuu yani...
Ninahitaji satellite dish ila liwe na brand name tofauti na DSTV, AZAM, ZUKU AU STAR TIMES.
Yani nahitaji liwe la matumizi ya zile FTA Channels.
Kama mtu analo jipya au lililotumika ila lipo katika muonekano mzuri basi anitafute.
Wasiwasi wangu pia mafundi wengi huwa hawapendi kuajiriwa kwa sababu posho za kila muda zinaondoka inabaki ile hela ya mwisho wa mwezi tu. Sasa, cha kuangalia ni yeye kama atapenda na kuafikiana salary anaweza kutusaidia kwa muda. Ukimpata nijulishe pia na namba yake ili niweze kumuunganisha.
Tangazo lipo hivyo kwa sababu wanataka mimi niwapelekee mtu tu ila swala la huyo mtu kuapply linajulikana ila hawataki hizo complications za kuanza kusort CV za watu.
Habari wana Jukwaa hili.
Kampuni ya STAR OIL inahitaji mtu ambaye ni mjuzi wa kutengeneza pump za petrol station. Ambaye itamwajiri moja kwa moja. Kazi yake kubwa itakuwa ni kutatua changamoto zote za pump katika vituo vya mafuta vya STAR OIL. Na anatakiwa awe huru kusafiri sehemu yoyote hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.