Recent content by Rodger Mhina

  1. R

    JamiiForums Tanzania Temeke: Jinsi Tozo inayoitwa SERVICE LEVY inavyokomesha Wafanyabiashara

    Mbona hii ni kodi ya siku nyingi sana mkuu , tangu enzi za Al Hassan Mwinyi na inalipwa Halmashauri/Manispaa Hadi 30th June 2025 ilikuwa 0.3% ya Net Sales za kila mwezi - lakini malipo yanafanyika miezi mitatu mitatu. kuanzia tarehe 1st July 2025 imeshushwa kidogo kwasasa inalipwa 0.25% ya Net Sales
  2. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijawahi kwenda ugenini/safari yeyote halafu nitoke sijalala na mwanamke.

    Mbona unajichanganya mkuu , mwanamke ndiyo umemuona siku ya kwanza ugenini na ukalala naye siku hiyo hiyo bado unahisi huyo siyo malaya ?
  3. R

    JamiiForums Tanzania Nani atatusaidia kuondoa 'state capture' Tanzania?

    Nyerere kaondoka miaka 40 sasa
  4. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu huwa ananiwekea chakula kidogo kwenye sahani sishibi, kumuambia naona aibu

    mkuu unategemea upate msaada huku JF ? huyo ni mkeo mwambie
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naishi na binti ambaye kwao hawajawahi kuniona ila wananisikia tu kupitia binti yao

    Bahati mbaya likitokea la kutokea akafikwa na mauti utampeleka wapi ? Utaingiaje mji wa watu ukiwa na jeneza na hakuna anayekutambua ? Utatambulishwa kama mume? Hawara ama nani ?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka sita anagoma kwenda shule. Nini kifanyike?

    Mazingira shule siyo rafiki, mtoto mdogo anahitaji muda mrefuwa kucheza na ku interact na wenzake
  7. R

    JamiiForums Tanzania Mama yake Mzazi anasema kabisa "Bora angekufa huyu kuliko yule wa Ulaya aliyekuwa ananitunza"

    Kosa la huyo mama ni kutamka hayo maneno hadharani, lakini wazazi wengi sana wanaongelea moyoni wanapofikwa na msiba wa wa aliyekuwa anawajulia hali. Hukumbuki na yule waziri wetu moja alizungumza hadharani kule Bukoba kuwa kwenye chaguzi wao ndiyo huamua mshindi na siyo kura zilizopigwa...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Je unawakumbuka herbalist maarufu wa kitambo hicho?

    Yupo hai mkuu
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM imejitenga na msiba wa Profesa Sarungi??

    Jana makamu mwenyekiti alifika nyumbani kwa marehemu kuhani msiba
  10. R

    JamiiForums Tanzania Mzee wangu kaacha dawa za presha presha yake Iko 200/93 pr 46

    Mimi natumia dawa za High Blood Pressure ni mwaka wa 26 sasa, mwambie muda si mrefu figo zake zita compromise, na itabidi aanza kufanyiwa dialysis , hatari nyingine ni kupata stroke ambayo inaweza mletea ulemavu wa kudumu ama kifo.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hospitali ya St. Benedict, Ndanda, Mtwara huuliza wateja dini zao?

    Mkuu huwezi kujibu bila kutukana ?
  12. R

    JamiiForums Tanzania Napataje mkopo kwa dhamana ya kiwanja

    Nenda Bank utaelekezwa utaratibu wa kufuata
  13. R

    JamiiForums Tanzania Hivi Rais Félix Tshisekedi yupo? Mbona anawabembeleza waasi na miji inazidi kutekwa na watu wanauwawa halafu yupo kimya??

    Mkuu mgogoro wa Congo ni mgumu kuliko unavyodhani , umedumu zaidi ya miongo 3 , makundi ya waasi yapo zaidi ya 140 yenye maslahi tofauti tofauti
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mke mjamzito, nataka kukata bima NHIF ushauri

    NHIF ina vifurushi vya aina nyingi ni kama unavyonunua kwenye simu hivyo ni vema kwenda kwenye ofisi za NHIF zilizopo karibu na wewe watakuelewesha
Back
Top Bottom