Speaking on grammar...you can't criticize the writer..as in your response...you didn't start with a capital letter, "coz" is not correct grammar. After a full stop, the sentence begins with a capital letter. "And" doesn't begin a sentence. "Christ's" sake has an apostrophe...look at yours... and...
Mie naona hawa polisi wana kisasi na CDM au wamelipwa waizime CDM....lakini sio rahisi.... wananchi nao wamechoka na viongozi wa serikali ya sasa wasio na uwezo wa kufikiri juu ya mambo muhimu ya Taifa. Viongozi wamejawa na akili za "tukale wapi.... na ufisadi tele.
Naomba kuuliza waungwana....Hivi katika Ndoa...Mke akimnyima mumewe Unyumba kwa "zaidi ya mwaka"...yaani hawajakutana kimwili...(miezi 15 sasa) .. Hiyo ndoa bado ipo kweli...?
Hakuna ugonjwa wala nini...ni Mke amemkasirikia mumewe tu .. na mume wala hajafumaniwa, na wala hajaenda nje...
Mr. Odinga is Right. The "AU" has been quiet in many issues concerning Africans. It looks funny seeing "NATO" as the body trying to intervene in Libya. First of all, they "NATO" don't have the History and feeling of that country, and further more, don't know their leader other than "Dictator...
Kuna safari moja miaka kadhaa..(somewhere in 2007 au 2008) kama sikosei...alipewa mwaliko kwenda Boston Mass, kuzungumzia jinsi waTanzania wanavyoishi kwa amani..pamoja na kuwa na dini mbili kubwa (Waislamu na Wakristu)...Lakini ungeuona huo msafara aliofuatana nao......
Starting to make China a Super Power... I'm not crazy about the idea...just because the Chinese are a selfish people. If they bfriend you...there's something they want from you...to Exploit.
Mkuu hiyo investigation nilishaifanya..na vitu nilivyokuta viliniumiza sana kiasi ambacho mpaka sasa nikivifikiria huwa naumia na kuwaza sana. However, nilivi-forward kwenye simu yangu kabla sijam-comfront..na alikataa at first..akakubali vingine...Vingine amekataa kabisa mpaka leo..lakini hajui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.