Naomba wahusika mtembelee shule ya manyara ni shule nzuri sana lakini iko porini shule haina maji watoto wanajisaidia porini jioni wanaenda kuokota vinyesi vyao choo wamewekewa zakutumia maji na akuna maji kwanini wasiwekewe vyoo vya mashimo?naomba wausika mlitazame.
jamaa tuache yooote aya tujiulize wanapata wap izo silaha kwan najua ukifata sheria uwez pata silaha namna walizozo nazo watu wa mererani je? wanafata sheria za kumiliki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.