Recent content by rockyy

  1. R

    Safari inogile

    wanajali muda
  2. R

    Kila kitu kipo india jamani huo ndio ubinadamu kasheshe kweli

    apa mbona kama bongo chupa za kilimanjaro?
  3. R

    Kwa Watumiaji wa Mirungi

    apo najua ndio kijiwe chako
  4. R

    Kwa Watumiaji wa Mirungi

    nenda pale mrina unapo chukuaga liverpol
  5. R

    Mawaziri wa elim mnalijua ili ni hatari

    Naomba wahusika mtembelee shule ya manyara ni shule nzuri sana lakini iko porini shule haina maji watoto wanajisaidia porini jioni wanaenda kuokota vinyesi vyao choo wamewekewa zakutumia maji na akuna maji kwanini wasiwekewe vyoo vya mashimo?naomba wausika mlitazame.
  6. R

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    nduga ajue cheo ni dhamana asione mefungiwa icho kiti.
  7. R

    Style hii imeshafika bongo jamani?

    Tz awataki makuu wanapandisha kwenye ndege.
  8. R

    Polisi yatoa Ufafanuzi wa 'Bomu' la Kanisani Kijitonyama

    kwann kilenge kanisani tu mbona kisiende ikulu???! au police?????
  9. R

    Mkuu wa FFU - Arusha na polisi wengine watatu wafukuzwa kazi

    me naona ungerudi ule utaratibu wa kuhamisha askari wasivizoe vituo ingesaidia kupunguza uhalifu.
  10. R

    Aliyemuua bilionare Erasto

    mbona mkuu autupi majina?
  11. R

    Toa maoni yako kuhusu picha hizi. umeelewa nini?

    mzee wa utepe uyo leo ana mkasi
  12. R

    Live: Mkutano wa CHADEMA Arusha, ni kuhusu Rasimu ya Katiba

    live umenena uko kwenye mkutano?
  13. R

    Eti jeneza la huyu linafunguliwa kwa rimoti

    jamaa tuache yooote aya tujiulize wanapata wap izo silaha kwan najua ukifata sheria uwez pata silaha namna walizozo nazo watu wa mererani je? wanafata sheria za kumiliki?
  14. R

    Eti jeneza la huyu linafunguliwa kwa rimoti

    sasa apo watakuwa wana waliza matajir ili waone wata wazika vp leo ni remot kesho ni...........
  15. R

    ARUSHA: Madiwani wapya wagundua ufisadi wa kutisha Halmashauri!

    najua watagundua mambo mengi pigeni kazi majembe tz bila sisiem inawezekana!!
Back
Top Bottom