Tatizo mnaamini sana uchawi, hio ni tabia ya kawaida tu kwa binadamu wa kawaida. Mtu muovu siku zote hupenda kuzungukwa na waovu wenzake ili kuhalalisha uovu wake, ili ajisikie vibaya. Sio uchawi ni sayansi ya jamii ya kawaida tu.
Inadaiwa wanawake wengi wanaoenda kazini wanaliwa na mabosi.
Inadaiwa wanawake wengi wanaoenda kanisani wanaliwa na Wachungaji
Inadaiwa wanawake wengi wanaoenda hospitalini wanaliwa na madaktari
Inadaiwa wanawake wengi wanaopanda pikipiki wanaliwa na ndege
Inadaiwa wanawake wengi ma air hostess...
We kijana nitajie hizo investment zilizofanywa sana! Unataka kusema makanisa, shule na vituo vya afya. Unajua zilijengwa kwa sababu gani na zilihudumu kivipi?
Conquests zimekuwepo na hazikua kwa sababu ya dini, dini ni sura moja tu lakini lengo kuu ni utawala. Kuanzia Egyptian, Mongolian...
Lengo la ujio wa ukristo ilikua ni ukoloni full stop. Ni kweli kukikua na suppression of Islam after the arrival of Europeans lakini haikua shabaha kuu. Maana ukisema hivo vipi kuhusu "kakure kirishitan" kule Japan nako walikua wanafukuza waislam????
Tualia mzee! System ni system iwe mbovu iwe nzuri bado ni mfumo!
My point is hata kwenye hii system mbovu tuliyonayo, kuna watu wanaweza kuona hatari ya haya mambo na kama wameamua kuacha yaende hivi hivi basi hawamtakii mema kiingozi wao wanataka ujinga wake uonekane.
Tatizo mtoa mada uliacha biology mapema ilo hivi kwa mnyama jike yoyote "Playing hard to get" ni natural method ya kumfanya dume awekeze nguvu na muda ili kufanya mate screening. Dume anayevumilia na kuonyesha juhudi anathibitisha kuwa ana genes bora, afya njema, na uwezo wa kulinda na kulea...
Kwa hichi kinachoendelea nafikiri hata system sio wajinga kiasi kuacha mambo yaende hivi. Nafikiri wanamuacha bi maza na team yake waendelee kutuonesha na kutuaminisha umma wa Tanzania jinsi gani ni walivyo watu wa hovyo. Wanawaacha waendelee kujivua nguo kwa ujinga wao.
Mtoa mada kwaio kinamchomzuia kijana kumtamani mama yake ni nguo? Kwaio maadili ya mtu yameshikiliwa na nguo zinazoficha nyuchi zetu na si molars au common sense?
Hii ni shida ya tamaduni zetu za shame culture. Maadili yetu hayatoki akilini na moyoni bali ni superficial. Ilitakiwa iwe akili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.