Kwanini wameuita Mwitongo!!! Una link yoyote na Nyerere maana Mwitongo ni kijijini kwa Nyerere, sioni kama watoto wa Nyerere ni wanufaika wa huo unaoita mkataba.
Nilishawai kusoma autobiography ya prof mmoja wa pale UDSM mwenye asili ya kihindi, nikaona wahindi wana ubaguzi sana hata wao kwa wao.
Anasema alikua na mjomba wake alikua anaumwa kifafa alikosa mke wa kihindi kila familia wanakataa, hadi ikabidi aoe mwanamke mweusi wa kimakonde [emoji23]...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.