Nunua pooltable 2 ziweke sehemu mbili tofauti hakikisha unapoziweka unapata hesabu ya 10 per day kwahiyo ni 300000 kwa mwez x2 600000 ndani ya miezi 5 utakuwa usharudisha huo mtaji wako
Maisha yana ups and down nimefungua duka kibanda nauza kila kinachokuja kichwani nauza kila kitu ambacho nimeulizwa na wateja wangu. Je ni sawa?
Nifanyeje ili nipate faida? duka langu lipo njiapanda ya Himo karibu na Mizani mpya ndio naanza nimeanza kwa kukesha 24 hrs lipo wazi
Naombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.