Recent content by RockBlockHolili

  1. RockBlockHolili

    Nimepata Tsh 3.5 milioni. Nifanye biashara gani?

    Nunua pooltable 2 ziweke sehemu mbili tofauti hakikisha unapoziweka unapata hesabu ya 10 per day kwahiyo ni 300000 kwa mwez x2 600000 ndani ya miezi 5 utakuwa usharudisha huo mtaji wako
  2. RockBlockHolili

    Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

    waliouliza nauzaje 24 hrs nipo na rafiki yangu ambaye namuamiji sana tunapokezana sasa hv saa 9 zamu yangu hadi saa 6 mchana
  3. RockBlockHolili

    Mnaopata wanaume wa kuwaoa, huwa mnafanyaje?

    utundu fanya vitu ambavyo havipati kwngine mnunulie vitu mpe mapenzi kwa juhudi zako zote ipende familia yake mjali! usichague mahandsome sana
  4. RockBlockHolili

    Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

    kwahyo ufanye utafiti nje ya field au ndan
  5. RockBlockHolili

    Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

    nlishawahi kumilik duka naelewa japo kula hakufirisi
  6. RockBlockHolili

    Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

    leo nimegundua kitu mpira umepunguza watejakesho ntafunga inch 43 na azam dish ili wasiende mbali na hapa ninapouza duka
  7. RockBlockHolili

    Nimefungua duka, nipeni ujanja wa kutoboa kwa kuwa Mangi

    Maisha yana ups and down nimefungua duka kibanda nauza kila kinachokuja kichwani nauza kila kitu ambacho nimeulizwa na wateja wangu. Je ni sawa? Nifanyeje ili nipate faida? duka langu lipo njiapanda ya Himo karibu na Mizani mpya ndio naanza nimeanza kwa kukesha 24 hrs lipo wazi Naombeni...
  8. RockBlockHolili

    Ushauri: Lecturer ananitaka kimapenzi, ananitishia yeye ndio mwenye hatma ya matokeo yangu

    mpe usiwaze! yaani kabisa we ni me alafu unaomba ushauri wa kutoa tako utoe au usitoe dah yaani kwanza me angekula vitasa vya kufa mtu
  9. RockBlockHolili

    Niko njia panda yenye maumivu moyoni: Biashara yangu imelala sana je, niende kwa mganga?

    anza na uchawi wa Mshana mwaga chumvi kwenye frame yako kila unapofunga biashara na unapofungua
  10. RockBlockHolili

    Je aina hii ya swala wanapatikana Tanzania?

    kwa yeyote anayataka nyama pori anitafute tuna tandala swala na dikdik
  11. RockBlockHolili

    Kumtafuta mchepuko wa mumeo

    hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja pambana tu arudi kwenye himaya yako
  12. RockBlockHolili

    Chadema Hii Kuwalipa Bodaboda Wajaze Nyomi Imekaaje?

    kwakweli kwa chadema kuwalipa boda boda ni ngumu labda katokea mtu tu mwenye pesa zake kawalipa
Back
Top Bottom