Wadau
Salaam!
Nauza nyumba iliyopo katika jiji la Mwanza. Ina vyumba 3 vya kulala ambavyo 2 ni master room, jiko na sitting room.
MMILIKI: Mimi mwenyewe
MAHALI ILIPO: Mwanza city, Luchelele
HATI: Ipo (66 years)
MIUNDOMBINU: Umeme/Maji vipo
BEI: TZS 55,000,000
CONTACTS: 0785099995
PICHA: Will...
Kuna kila dalili CCM inafikia mwisho, mipasuko. Ya majirani zetu KANU kujirudia, rais Moi alifanya hivyohivyo kama huyu wakwetu.
Baadhi ya nyakati kiongozi anapaswa kuwa na chembe hata kidogo za khofu ya Mungu, si visasi.
Ni kweli ajali imetokea na nimefika eneo la tukio dk 10 tu baada ya ajali hiyo. Bus la Wibonela likitokea Kahama kwenda Dar likikimbizana na mabasi ya City Boy na Kisbo yalipofika kwenye kona ya Phantom ndipo mwendo kasi ukawashinda na kupitiliza mtaroni na kupinduka mara mbili. Limeua na...
Binafsi nilimfatilia sana @Ben Wa Saanane hapa JF na kule kwenye ukurasa wake wa FB, kiujumla chama chao kimesheheni magenge fulani.
Ukizitazama hizi episodes, mengi utayabaini kuanzia mauaji ya Wangwe, akina Mtela na Shonza, akina Habib Mchange, akina Zitto na Kitila na sasa kwa Ben. Mara...
Hii nchi haina desturi za kukemeana, kuwajibishana. Ikumbukwe huyu ni mteule wa Rais, hivyo jukumu kubwa lipo kwa mkulu wetu na si vinginevyo katika kumuwajibisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.