Nashukuru sana kwa ushauri wako, lakini miasha yangu yana stori complicated kdg kuhusu haya mambo ya kiroho.
Maana kuna wakati huwa naota kama naongea na mtu lkn yupo kwenye taswira na umbo la duara kama jua na anatoa mwanga mkali sana mweupe, mara nyingi anayoniambia hutokea kama...
Kuhusu dini mimi ni mkristo,
Muendelezo upo mkuu na nisingependa kuweka wazi sana hapa kwa sababu za kibinafsi.
Ila tu kuna mlolongo wa matukio hapo katikati na sasa huwa naona ndoton akiwa na watoto wawili (nikimaanisha ni familia).
Nahitaji sana kupata maana halisi na nahitaji kujua ni...
Surya
Msaada wako ndugu Surya Said,
Mimi kuna ndoto imekuwa ikijirudia takribani huu ni mwaka wa 3 Sasa.
Iko hivi, mara nyingi huwa naota nipo kwenye matembezi na binti mzuri sana kwa muonekano wake, hasa maeneo ya ufukwe wa bahari au pembezoni mwa mto na mara zote lazima tutakutana na Sheikh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.