Recent content by roby2006

  1. roby2006

    JamiiForums Tanzania Wasikutishe, hakuna wa kukulaani

    Huu nao ni ubatili
  2. roby2006

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya maisha yangu: Naamini kuna watakaojengwa na kuelimika na simulizi hii

    Hii nguvu uliyoitumia hapa ungetupa walau kamwendelezo kidogo ungefanya la maana sana
  3. roby2006

    JamiiForums Tanzania Matajiri wa kitanzania mumeona mjengo wa Dkt. Mengi

    Aisee huyu Mzee kweli alikuwa akienda kula Christmas nyumbani
  4. roby2006

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ngumu kuwa na rafiki wa kiume

    Kuna mmoja aliwahi kusemaga urafika kati ya mwanamke na mwanaume ni sawa na kutembea na muwa huku ukjifariji kuwa ni mkongoja utautafuna tu mbele ya safari
  5. roby2006

    JamiiForums Tanzania Ni biashara gani ndugu zangu inaweza kuniingizia elfu saba kwa siku?

    Namba 2 akizingatia atapata faida hata zaidi ya hiyo anayotaka ila no 3 kwa mtaji wake ni ngumu kidogo
  6. roby2006

    JamiiForums Tanzania Ujenzi Ubungo interchange wafikia 25%

    Mchoro wa kwanza ulikuwa wa kuombea pesa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. roby2006

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anataka kufahamu faida ninayoingiza kwenye biashara yangu. Kaninunia baada ya kumwambia tupige na mshahara

    Usiogope anataka kujiridhisha tu kama kipato chako kinalingana na matumizi au la Isije kuwa kuna jamaa anamsaidia maana umesema unajinunulia kila kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. roby2006

    JamiiForums Tanzania European Court of Human Rights says that homosexual marriage is not a human right

    Acheni kutetea upuuzi eti wamezaliwa na ulemavu kwa hiyo na wale wanaowaingilia wamezaliwa na ulemavu wa kuwalawiti wenzao
  9. roby2006

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Mi nilivyoona Samata hayupo tu nilijua tumeumia si shabiki sana wa mpira lakini mechi na C verde samata alikuwa chachu kubwa sana ya ushindi goli la kwanza assist alitoa samata na goli la pili alishinda yeye
  10. roby2006

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Bora tulivyoishia hapa maana kwa mpira huu huko mbele tungekuwa kituko
  11. roby2006

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufuzu AFCON-2019: Stars yashindwa kufunga mahesabu mapema! Yakubali kipigo cha goli 1-0 kutoka kwa Lesotho

    Game ngumu sana hii sijui kama tutatoka kwa hawa Lesotho
  12. roby2006

    JamiiForums Tanzania Baba yangu ni mkatili. Ananifukuza na sina pa kulalamika, nabaki na huzuni

    Baba yako amechelewa sana kukupa hiyo karatasi ya mkataba isijui alikuwa wapi siku zote
  13. roby2006

    JamiiForums Tanzania Nipeni dawa, Madaktari wameshindwa

    Hili hali imenitokea juzi usiku asubuhi nikaamka vizuri tu mi nikajua ni hali ya kawaida kumbe ni tatizo Ila maumivu yake ni ya kawaida lakini si mchezo unatembea kama umetoka jando kwa wale tulioenda tukiwa tunajitambua
  14. roby2006

    JamiiForums Tanzania Jifunze kitu hapa - TRUE STORY

    Pole sana mkuu kwa changamoto unazopotia endelea Kungangana na Mungu ndie mwenye majibu ya maswali yote unayojiuliza
Back
Top Bottom