Recent content by Robin Van Persie

  1. Robin Van Persie

    Kuna Wenzangu waliokimbia Additional Mathematics kama mimi?

    Nilitamani sana kufanya hilo somo O’ level. Sikupata nafasi hiyo tu.
  2. Robin Van Persie

    Kufunguliwa kwa vyuo na shule zote

    Usitarajie shule zifunguliwe wakati nyumba za ibada zimeanza kufungwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Robin Van Persie

    Natafuta rafiki wa kike

    Kila la heri. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Robin Van Persie

    Tatizo lolote la PC/device

    Unatumia system ipi? x86 (32 bits) au x64 (64 bits)?
  5. Robin Van Persie

    Tatizo lolote la PC/device

    Habari za muda huu? Naomba kuuliza, inawezekana kubadili internal hard disk kwa laptop zinazotumia SSD hard drive?
  6. Robin Van Persie

    4G Smartphone Kitochi, Tigo/ Voda?

    Nimenunua T-SMART ya tigo, mpaka sasa nimegundua yafuatayo kwa simu hii: 1. Kasi yake ya internet (ukitumia wi-fi) ni nzuri, video za youtube zinacheza vizuri bila kukwama. 2. Whatsapp inafanya kazi vizuri tu, ila haisapoti document messages (doc, docx, xls, pdf e.t.c.). 3. Unaweza kuimport...
  7. Robin Van Persie

    Kusoma uhasibu bila ufaulu math's

    Hizo kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya ndo maths yenyewe. Mengine nyongeza.
  8. Robin Van Persie

    Msaada wa softcopy za syllabus (Chemistry na History)

    Habari za jioni wanaJF? Naomba mwenye nakala laini (softcopy) za syllabus za Chemistry na History kidato cha kwanza mpaka cha nne anisaidie.
  9. Robin Van Persie

    Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

    Unaweza kutafuta Internet Download Manager (IDM) pia. Hiyo inafanya kazi mara baada ya kufungua video husika.
  10. Robin Van Persie

    Aliyefanikiwa kupata namba yake ya utambulisho NIDA kupitia tovuti atoe ushuhuda

    Exactly. Mimi nilishapata online copy ya id yangu, na niliowatafutia namba wote nimepata copy za id zao.
  11. Robin Van Persie

    Aliyefanikiwa kupata namba yake ya utambulisho NIDA kupitia tovuti atoe ushuhuda

    Kuna rafiki yangu kaomba NIN kwa kutumia mfumo wa msg kwenda 15096, akajibiwa hivi 👇 Baada ya majibu hayo nikaingiza taarifa zake kwenye portal, namba yake (NIN) ikatolewa muda huo huo.
  12. Robin Van Persie

    Aliyefanikiwa kupata namba yake ya utambulisho NIDA kupitia tovuti atoe ushuhuda

    Ingia hapa 👇 https://services.nida.go.tz/nidportal/Login.aspx Kisha chagua Fahamu namba yako (NIN) , itakuleta hapo 👇 Ingiza taarifa zako sahihi kama ulivyojaza kwenye fomu, kisha gusa Tafuta . Kama namba yako ipo tayari watakuonesha. Mpaka sasa nimetumia njia hii kupata namba (NIN) za...
  13. Robin Van Persie

    Mjadala: Leseni inapokwisha muda wake ni sahihi dereva kuilipia kisha kupewa mpya bila kupewa mafunzo tena?

    Hiyo leseni ya learner bila risiti ya chuo cha udereva huipati, labda uwe na mtu anayekufahamu TRA.
  14. Robin Van Persie

    Dar Lux, kampuni bora ya mabasi inayoelekea kaburini

    Ndo umetuma video ya hilo panga ukijua ni Majinja Volvo 🤔🤔
Back
Top Bottom