🩺 Ndiyo. Hali hii huitwa Silent Ulcer (Asymptomatic Peptic Ulcer).
🔬 Sababu zinazoweza kufanya kidonda kisiwe na maumivu:
*Kidonda kuwa kidogo au katika eneo lenye maumivu kidogo.
*Matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu.
*Mabadiliko ya neva au magonjwa yanayopunguza hisia za...
Chanzo Kikuu:
# Maambukizi ya bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) chanzo chake ni matumizi ya muda mrefu ya dawa za kupunguza maumivu kama Aspirin, Ibuprofen, Diclofenac).
# Dalili zake ni pamoja na:-
Maumivu ya tumbo sehemu ya juu.
Gesi Kujaa tumboni au kuvimbiwa mara kwa mara.
KuWa na...
# Michubuko tumboni bila H. pylori
Michubuko (Erosions au Gastritis) kwenye kuta za tumbo inaweza kutokea hata bila kuwepo kwa H. pylori.
Sababu kuu ni:-
Matumizi ya dawa mbalimbali za maumivu– (kama aspirin, diclofenac, ibuprofen) ambazo hupunguza ulinzi wa kuta za tumbo.
Matumizi ya pombe...
H. pylori ni nini?
Ni bakteria hatari wanaoishi tumboni na mara nyingi husababisha gastritis, vidonda vya tumbo na hata saratani ya tumbo.
Dalili kuu:
✅ Maumivu makali ya tumbo (hasa ukiwa hauna chakula tumboni ukiwa na njaa)
✅ Kichefuchefu, gesi nyingi na tumbo kujaa
✅ Kukosa hamu ya kula na...
SABABU KUU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA MWANAMKE.
✍️Magonjwa ya maambukizi katika mfumo wa Uzazi kama vile PID, fungus n.k.
✍️Changamoto za mahusiano.
✍️Matatizo ya vichocheo (hormone )
✍️Sababu za uzazi (kujifungua )
✍️Matatizo ya kisaikolojia.
N.B TUNAWEZA KUKUSAIDIA VIZURI KABISA...
Usaidizi wa kitaalamu ni muhimu sana, lakini pia kuna mambo ambayo unaweza kufanya kila siku ili kukusaidia kupona. Kama mabadiliko ya mtindo wa maisha pia tafuta usaidizi wa tiba ya kisaikolojia ni matibabu muhimu kwa Depression
@ Mbathane Robertus, counseling psychologist
Wana JF Mbathane in mtanzania anatumia lugha yake adhimu sasa baada ya kuharibu lugha ya watu, tafadhari mbele yenu ni kijana mhangaikaji natafuta fursa ya ajira hata ya kujitolea kwa kupata angalau nauli maana unapokuwa na sehemu unajitolea ni rahisi kupata sehemu nyingine kuliko kukaa mtaani...
Kwenye hilo suala la kuwa na madini mengi ni moja ni pamoja na kuwa na utaalamu wa kuyachimba na kufanya processing kuipata hiyo product ambayo itaingia sokoni he hao wataalamu wapo na mazingira yao ya Nazi yakoje! nahisi tukiwajali kwanza hao wataalamu na wakaona hayo madini no yao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.