Recent content by Ro vanri

  1. R

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    tofauti na ruban kazi nyingine hamna?
  2. R

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    kwa anayesoma kombi ya PGM anaweza fanya kazi gani ?
  3. R

    Shule bora za Serikali, enzi hizo

    mwakaleli sec umeiacha amakweli we ndo kilaza kabisa
  4. R

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jaman waliopangiwa DAREDA sec BABATI manyara kama kuna mtu ana join instruction au ana namba za mwalimu wa shule hiyo anipe jaman mwishowe shule imekalibia kufunguliwa sijapata join dah!!!
  5. R

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    dah!!! haona hamna aliye chaguliwa Mwakaleli humu
  6. R

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jaman tulio pangwa Mwakaleli sec school tu juzane namna ya kupata join instruction au kama kuna mtu anasoma pale atu juze
  7. R

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    mi nimepangwa mwakaleli na weza pata join instruction
  8. R

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    anaye ifaham vizuri mwakaleli high school atujuze iko vijijini au mjini vp kuhusu manzali yake na ina michepuo gan
  9. R

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    niangalizie lalago s.o519/0119 Robinson richard au unipostie majina yote samahan lakin
  10. R

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    niangalizie Robinson Richard s.0519/0119 lalago sec school
  11. R

    Post za kidato cha tano 2015/2016

    nikweli au unaturusha roho
Back
Top Bottom