Recent content by rkm

  1. rkm

    Nafasi za Kazi 56 (African Wildlife Foundation ) - Deadline 18 July

    umejiregister leo as awf na umeshabadili ID, kama unataka kuscam unemployed basi watafutie an upgraded method ya scam, hii unayotumia ni very local. Umiza kichwa unapotaka kuscam great thinkers, hii sio facebook. Asubuhi nafasi zilikuwa 44, now ni 56.
  2. rkm

    Ajira Mpya 44 Tanzania

    why does it seem like a scam? especially with your ID which indicates a short form of the foundations name... I feel some smelly of a scam as per employees pictures updated on your website.. No offense, sorry for my insticts if am wrong
  3. rkm

    Simulizi: Nilivyomfumania Mume Wangu Nikaapa Kulipiza

    i guess utakuwa hujajua namna anayotumia kudeliver message kwa watu, that wasnt serious, alikuwa anafundisha on kutokuwa na papara kwa ladies wakitongozwa especially na mwanaume anayeweka pesa mbele and how wajane wanachukuliwa for granted kwamba they will accept any relationship without kujua...
  4. rkm

    Gospel unazozipenda

    Sijaona kama wewe - Patrick Kubuya Excess Love - Mercy Chinwo ft JJ Hairston Nguvu za Mungu - Beda Andrew
  5. rkm

    Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

    hahaha hata robo ya decade sijafikisha, born on late 90's
  6. rkm

    Warembo wangu, upo tayari kufunga ndoa bila sherehe?

    Hiki ndio nachotamani jamani natamani sana mwanaume tutakayetaka kwenda naye step ya ndoa anielewe kuwa sitaki kabisa sherehe, na ikiwezekana harusi tufunge siku ya week tuende ofisini kwa mchungaji sisi wanandoa na wasimamizi basi, tukitoka hapo tukale lunch then kila mtu arudi kwake.
  7. rkm

    Mtazamo: Kusomesha mwanamke ilikuwa mpango madhubuti kuharibu vizazi vijavyo

    Ok, usisomeshe mtoto wako wa kike itakuwa umetatua tatizo
  8. rkm

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Vifurushi wamekaba mitandao yote, ujanja sasa ni kutafuta mechanism nyingine ya kuokoa hela zetu za vocha sasa kupata vocha za 5000 bure,bonyeza link hii https://jamiiforums.com/s6nWahSQSX
  9. rkm

    Swali kwa wanawake: Umewahi kuishi na mpenzi wako kwa miezi 6 na zaidi bila kugundua anakucheat??

    Najua sana na ni wengi,lakini haikuwahi kuwa mapenzi ya Mungu ilikuwa ni choices zao binafsi kama tunavyofanya sisi sasa... Na ndio maana kwa wengine alionyesha directly kuchukizwa na waliyoyafanya na kumbuka Mungu hajipingi,akisema uzinzi ni dhambi hakuna any bible scripture ya kujustify...
  10. rkm

    Swali kwa wanawake: Umewahi kuishi na mpenzi wako kwa miezi 6 na zaidi bila kugundua anakucheat??

    Hahahahaha sasa hapo kwenye judgement kwanini afanye hivyo am not concerned,but ndivyo biblia inavyosema... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. rkm

    Swali kwa wanawake: Umewahi kuishi na mpenzi wako kwa miezi 6 na zaidi bila kugundua anakucheat??

    Effect ya alichofanya Abraham haikumhaunt yeye,ilimcost mwanae Ishmaeli... Kwani umeona mahali nimesema Abraham alipata shida? kwa Abraham nimekupa reference ya Ishameli,natumaini utakuwa unajua Mungu hupatiliza wana uovu wa baba yao vizazi hata cha nne.. Kwa Suleimani ilimpata yeye mwenyewe...
  12. rkm

    Swali kwa wanawake: Umewahi kuishi na mpenzi wako kwa miezi 6 na zaidi bila kugundua anakucheat??

    Nilidhani unatumia quotation za hao watu kwenye vitabu vya dini huku ukijua the results za their deeds... Sent using Jamii Forums mobile app
  13. rkm

    Swali kwa wanawake: Umewahi kuishi na mpenzi wako kwa miezi 6 na zaidi bila kugundua anakucheat??

    Unaijua hatma ya huyo Ishmaeli? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom