Hongera kwanza kwa kupata hata hiyo nafasi ya kusoma diploma, wapo ambao wamekosa kabisa. Ila hujachelewa kwani application za chuo huanza mwezi wa saba kama sjakosea na wewe unamaliza mwezi wa nne, hivo hapo ni utaratibu wa chuo husika tu ndo unatakiwa kufanya utaratibu mzuri wa kuwahisha...
Sawa, ila mi nadhani huyu anayenipoza ameona jins gan navoumia na ndo mana ameamua kufanya hivyo. Na pale nyumbani kwa huyu aliyekua wangu hayupo na hana mpango wa kurudi tena ndo mana nikaomba ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.