Hoja zuri na imenifanya niwe na mixed emotions, kama binadamu akishakufa ndo maisha yake yanaishia papohapo manake mungu hayupo na if no God pia shetani hayupo kwahy tunaposkia maswala ya wachawi sijui waganga na propaganda na upigaji dhidi ya wanadamu, let's discuss this siyo kwa ubay lkn
UTANGULIZI
Mimi ni miongoni mwa vijana wa kitanzania ambao ni wahanga wa ajira za serikali baada ya kuhitimu elimu yangu ya juu na ni takriban miaka minne sasa niko mtaani ninatrust process lakini kama ningeendelea kusubiri mfumo pengine leo ningekuwa maskini wa kutupwa kiasi cha kushindwa...
Sheria hii pia inaweka masharti ya mwandishi wa habari kuthibitishwa (kupata ithibati) ili kufanya kazi za uandishi. [Kifungu cha 19] Bodi inaweza kufuta uthibitisho wa mwanahabari kutokana na kukiuka kwa kiasi kikubwa maadili ya taaluma yaliyoainishwa katika kanuni za maadili ya taaluma ya...
ajira ni kazi yeyote ambayo mtu anafanya kwa malipo katika taasisi, kampuni, ofisi za serikali au kwa mtu binafsi.
Vilabu viko kwenye mfumo wa taasisi, wachezaji na watumishi wengine ni waajiriwa na hulipwa, wachezaji hupata Hela ya usajili(signing fee) pia hulipwa kwa mwezi pia wanapocheza...
UTANGULIZI
Nitumie fursa hii kuwasalimu wapenda soka wote mlioko humu ndani jamiiforum pia wapenda maendeleo kwa ujumla.Mafanikio ya mpira wa miguu ni matamu sana lakini yanahitaji maandalizi ya hali ya juu, wakati Tanzania tunasherekea kufuzu kucheza Afcon mwaka 2023 wenzetu Senegal mwaka 2002...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.