Wewe ni gamba ya chadema tuachie wenyewe hata nyerere akitafuta uhuru wapo wapuuz kama wewe walimrudisha nyuma wanachama wenzangu na waenda maendeleo ambao baba zetu hawajafaidi matunda ya nchi na wenye upeo wakufikiria twende mbele
Yaani bado wapuuzi ni wengi jamani vijana wenzangu tusipotoshwe na vijana wenzetu ambao baba zao wamefaidi nchi hii au ni mambumbu hawajui tuendako wap ni wap wajinga wanaofaidka na nchi hii wanafurahia kushikiliwa kwa msigwa
Kwangu mimi mkurigenzi anaekwenda arusha ndo kabisaa magamba wasitegemee mafanikio kwan amekua mtu mzuri kwa cdm kumbukumbu zangu kwa huyu jamaa ni nzuri tangu akiwa wilaya ya same kama mkurugenzi alikua gafanyi makosa na akipokaribia kuwaondoa magamba ana kilango na davif mathayo wakampeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.