1.. Francis NYAMBULA Kahata a.k.a mguu kijiko.. huyu jamaa bado anauwezo wa kuchukua ufadha pale unyamani maana bado anao mwingi sana mguuni
2.. Erasto EDWARD Nyoni jamaa bado anasukuma sana gozi kuliko hata huyo Fabrice Ngoma mwenye pancha
3..Bernard MORRISON mtoto wa Efua bado yuko full...
Hujui tu mdogo wangu hauna match fitness unakubalije kwenda national team bila kuelewa kua ni kampeni ya Yanga kukudhalilisha.
Achana na misifa ya kuitwa Stars ukajiona we unafaa dogo tafuta timu hata kama ni simba au ihefu... we nanda mpira ni kama shule bila kusoma huwez kufaulu.
GSM...
Morrison anajua kutafuta hela, yani anatumia akili ndefu kuishi na mawenge ya sisi watanzania tulio na upungufu wa vipaji vya soka.
Ghana hawezi kuleta udwanzi wa dzain hivyo maana kumesheheni vipaji vya kutosha. Wachache watamwona mwehu ila anajua kucheza na mindset za wabongo
Yaani hakuwa muungwana na ata wakimzodoa huko aliko simhurumii. Yani kulikuaga na katim flan kanakueleza et mpaka uwe kada na makada walipata ajira fasta mtu kamalza chuo leo ajira zktangazwa mwezi kesho yumo wakat hata cheti hajapata. Yani Mama Samia hii nchi aiongoze milele tu pamoja siipendi...
Ni kipindi kile cha Magufuli mpaka eti uwe CCM ndo uajiliwe. Nimeona mengi sana enz Heri James anatuma majina ya UVCCM na wana ajiriwa wengne msubili mpaka CCM waishe. Mama Samia kabadilisha huo ujinga hamna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.