Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
1.. Francis NYAMBULA Kahata a.k.a mguu kijiko.. huyu jamaa bado anauwezo wa kuchukua ufadha pale unyamani maana bado anao mwingi sana mguuni
2.. Erasto EDWARD Nyoni jamaa bado anasukuma sana gozi kuliko hata huyo Fabrice Ngoma mwenye pancha
3..Bernard MORRISON mtoto wa Efua bado yuko full magazine pale FAR Rabat.. huyu mwamba atawapa na udambwi udambwi
2.. Erasto EDWARD Nyoni jamaa bado anasukuma sana gozi kuliko hata huyo Fabrice Ngoma mwenye pancha
3..Bernard MORRISON mtoto wa Efua bado yuko full magazine pale FAR Rabat.. huyu mwamba atawapa na udambwi udambwi