Recent content by Ritchy Breezy

  1. Ritchy Breezy

    Ushauri unahitajika: Niko njia panda, kila maamuzi ninayotaka kufanya naona yana athari

    RUN AWAY, NAJUA ITAKUSUMBUA BUT RUN AWAY NO MATTER WHAT,KITENDO CHA KUANZA JEURI ULIPASWA UONYESHE UNAWEZA KUMUACHA,HUYO SIYO WAKO ILA WATOTO Usiteswe na dunia ya mapenzi, ukikubali hivyo utaishi kwa maumivu hadi unaingia kaburini- kubali, ifundishe akili kukubali yameisha na hakuna namna😊
  2. Ritchy Breezy

    The dark side of business

    Mkuu utajiri wa mtu na mtu unaenda kwa level na nyota-ni kama ulivyoanza primary to University angalia watu ulokuwa unawaacha..si kwamba ni wajinga ila ni level yao au nyota(bahati) yao inaishia hapo. UCHENI KUKAZA KA MITOTO
  3. Ritchy Breezy

    DOKEZO Responded Chuo cha SAUT kishughulikie Mfumo wa Matokeo kuna malalamiko ya chinichini kuwa ‘unachezewa’

    Acha mi hadi leo nipo chuoni napambania vimeo ambavyo nilikua nimefaulu,inakatisha tamaa Chuo ni kizuri ila system sasa...!!!!!
  4. Ritchy Breezy

    Ni clip gani/zipi zinakufurahisha kwenye gallery yako?

    Znazokuchekesha wewe ni zipi mkuu
  5. Ritchy Breezy

    Ni clip gani/zipi zinakufurahisha kwenye gallery yako?

    Habari Kuna baadhi ya clip hata kama ushaiangalia zaid ya mara 10 ila kila ukiingalia tena lazima ikuchekeshe au ikukumbushe jambo fulani Weka hapa tufurahii😁 Zangu ni hizo,sijawahi kuzifuta kabisa
  6. Ritchy Breezy

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Uko sahihi hapo inategemea kazi anayofanya pia..
  7. Ritchy Breezy

    Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

    Asee ata wanaume kuna species nimeamini Mimi nina principle 2 tu manzi afate nachotaka au tuachane. Spendi drama Mwanamke tena mke anakusumbua?? Atakuwa jeuri ila vitu vya msingi lazima afanye nyapu atatoa na chakula for family lazima aandae,lazima awahi kurudi na lazima aniage au anijulishe...
  8. Ritchy Breezy

    Call For Work (Placements) Kuitwa Kazini UTUMISHI March, 2025

    Hii ndo list ya mwisho? Au tusubiri nyingine?😀
  9. Ritchy Breezy

    Naomba mawazo/ Ushauri wa kitabibu.

    Wakuu habari za wakati huu Nina changamoto moja ya kiafya
  10. Ritchy Breezy

    Kipi kimekufanya udumu kwenye mahusiano yako mpaka leo?

    "Upendo" Hili neno limebeba kila kitu mkuu. 8yrs now,tangu nipo form 4(2016) Upendo ukiisha yajayo😁😁
  11. Ritchy Breezy

    Bora niendelee kuwa single

    Upo kama mimi mkuu ila shida ni moja nikifanya mara kwa mara nakonda ila nkifanya kwa kiasi nanawiri utafikiri wakishua kumbe choka mbaya ,then confidence ya kuapproach inakuwa juu,kiasi kwamba kila manzi naona hawezi kuchomoa..
  12. Ritchy Breezy

    Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

    Kipindi namuacha,hakuwa na Mimba nor mtoto ila after few day akajirudi yakawa kam yameisha kilichojili ni Mimba bible,mpaka sasa hatujaachana japo ups and down ni nyingi Akitulia ntamuoa ila shida ni ye kuvumilia hadi nijipate hapo ndo kipengele mi bado najitafuta kitaa,milango aijafunguka.
  13. Ritchy Breezy

    Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

    Wale watoto mimi ndo nmepanda mzee...I mean ni watoto wangu pimbi wewe😂
Back
Top Bottom