Dah hiyo Kali kwahyo kwenye feki kuna original? Ila sishangai tcra walisema watafungia fake phones na wakaeleza ni jinsi gani ya kujua ipi fake ila zpo znafanya kazi hii ndio tz sasa ivi ni kuhamia Dodoma raha sana am proud to be Tanzanian cjui nyinyi
Tumekalia kujua vitu vya kijinga kama hii habari itawapanikisha ilebaya watafititi wamesema helium gas ipo Tanzania ila hatuwezi ulizia hata inatumika wapi ili tujue LA kufanya shit news like hii it will keep u busy ujinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.