Recent content by Rita Warobi

  1. Rita Warobi

    Kaptula la Marx: Unafahamu kwanini kitabu hiki kilipigwa marufuku? Waandishi wetu na Siasa zetu

    Hiki kitabu nilikua natamani sana kukisoma , kama kuna mtu anaweza kunambia nawezaje kukipata hata online nitafurahi sana
  2. Rita Warobi

    Kuimarika kwa miundombinu Kigoma Mjini: Mbunge Zitto Z. Kabwe Ruyagwa anastahili pongezi. Manispaa ya Kigoma Ujiji sasa yameremeta kwa lami!

    Umekurupuka kama kawaida yako braza, learn to be positive even for once in your life.
  3. Rita Warobi

    Tusipotoshane, kulikuwa na sababu za msingi kabisa kwanini Marais waliopita hawakununua ndege kama awamu hii ya tano ilivyofanya

    BTW kupeleka watoto shule wapate elimu You mean elimu bure not only in delivery but also content? hio ya watoto kukaa kwenye vumbi au kusomea chini ya miti? hebu take your time upite shule hasa za rural areas uone hali ilivyo., kwa hio kupewa kiloba cha unga ndio maendeleo to you? LOL
  4. Rita Warobi

    Tusipotoshane, kulikuwa na sababu za msingi kabisa kwanini Marais waliopita hawakununua ndege kama awamu hii ya tano ilivyofanya

    Soma vizuri dhana ya maendeleo na indicators zake, no a single developed country iliignore kwanza maendeleo ya wananchi wake na kwenda kuinvest kwenye manunuzi ya ndege ambayo kimsingi zinajiendesha kihasara ., maendeleo yana stages na yanaanza stage ya chini kabisa ngazi ya an individual...
  5. Rita Warobi

    Tusipotoshane, kulikuwa na sababu za msingi kabisa kwanini Marais waliopita hawakununua ndege kama awamu hii ya tano ilivyofanya

    Kununua madawati ni kula ? kununua dawa na vifaa vya hospitali ni kula ? kuwapa wanafunzi wa elimu ya juu wasio na uwezo wa kujilipia ada na gharama za masomo ni kula? Tunatengeneza nchi ya namna gani?
  6. Rita Warobi

    Profesa Assad amkabidhi ofisi CAG mpya, hakuona haja ya kupiga danadana

    Bro hua unapanic sana tena kusiko hata na ulazima
  7. Rita Warobi

    Tusipotoshane, kulikuwa na sababu za msingi kabisa kwanini Marais waliopita hawakununua ndege kama awamu hii ya tano ilivyofanya

    Umenene vyema, sisi ni least developed country bila kujali tunamiliki ndege wapi, kama serikali yetu haitajali kuwapatia watu wake huduma nzuri za afya, shule, maji, umeme na makazi mazuri basi bado sisi ni masikini tena wa kutupwa kwa kua maendeleo ya awali yanapimwa kutoka individual level na...
  8. Rita Warobi

    Acha upotoshaji wewe, hakuna wakati nchi ilikuwa pazuri zaidi kama wakati wa Kikwete

    One of the best threads nimewahi kusoma kwenye jukwaaa hili kwa mwaka huu. Kudos kwa uchokozi mzuri wa mada
  9. Rita Warobi

    Taasisi ya dini inavyojipotezea heshima nchini Tanzania!

    Mbona linatunza maadili ya waumini wao, kwani hao viongozi wa serikali si ni waumini wa haya madhehebu pia?! kubalini kukosolewa
  10. Rita Warobi

    Philipo Mwakibinga wa WARAMI awajibu maaskofu wa KKKT; adai wanatumiwa na CHADEMA

    Nachelea kuamini ni Mwakibinga huyu huyu wa UDOM, ama kweli njaa sio kitu kizuri, anachokisema Mwakibinga ni pure nonsense hajajibu hoja zilizotolewa na maaskofu , ni porojo na UMusiba uliopita kiasi
  11. Rita Warobi

    Kagera: Mwalimu kizimbani kwa kumkashifu Rais Magufuli

    Kwanini hataki kukosolewa?
  12. Rita Warobi

    Je, maandamano ni haki ya kikatiba?

    Fafanua mkuu
  13. Rita Warobi

    Zitto Kabwe amjibu Musiba dhidi ya tuhuma za watu 10 hatari kwa usalama wa nchi

    Hahaha mimi pia nilitegemea kuona jina la mtu fulani aliebobea kwenye mambo ya uvamizi wa kutumia silaha ila sijaliona
Back
Top Bottom