Shaaban Dede nyimbo zake na uimbaji wake ulivuma sana enzi zile za Bima Magnet 84 na nyimbo kama "Usiniache peke Neema," "Bom la simanzi limepasuka hadharani" na nyingine kibao.
Ila hapo umemtaja Roy(Rweyemamu Bashekanako) Bresa Kakere na Jumbe Batamwanya na sauti zao za kipekee. Hao...
Tele Santana kocha maarufu aliyefundisha kikosi cha Brazil 1982 na 1986 alikua muumin mkubwa wa samba. Aliwahi kuielezea falsafa ya soka la samba kwa kusema "Soccer ni sanaa. Samba ni kucheza mpira mzuri sana unaowafurahisha watazamaji, unatengeneza nafani na kufunga magoli"
Brazil ilipata...
Indeed, the book is so nice Moisemusajiografii . That woman Mumbi was my hero, her husband Gikonyo was a Mau Mau fighter. When he was released from detention after some years, he came home to find Mumbi with a little child! The bitter truth was that the father was his old friend Karanja who...
MKANGAFFU hapo ndio inaposhangaza kwamba chuki za kutukanana na kukashifiana za nini? Kwanini kama ni mfuasi wa dini asishike na kuishi mafundisho ya dini yake hadi aiparure dini au imani ya mwenzake?
Kinachochekesha ni kwamba hawa Abrahamic wala hawana shida na wanaosema hawaamini dini yoyote...
Mkuu Smart911 huwezi kupita katika majukwaa mawili humu JF bila kuona nyuzi au michango yanye viashiria vya uchochezi wa kidini na kukosa kuvuliana,wa imani moja anatukana nyingine kila mmoja akidai ni bora kuliko imani ya mwenzake
Mkuu suala hili ni mtambuka (cut across issue). Factor za ndani kama usemavyo zinazosababishwa na wanasiasa kwa kujua au vinginevyo zinasaidia ku pusha agenda za nje. Hatua za kukomesha uchochezi zisipochukuliwa mapema tutaharibu Taifa letu
Rwanda ilipitia njia ngumu sana na wamejifunza kwa...
Mitandaoni ikiwemo majukwaa makini ya majadiliano kama humu JF utagundua kuna kampeni za wazi, kubwa na zilizoratibiwa vizuri kuchochea chuki za kidini hasa baina ya waumini na waamini wa dini mbili kubwa za Ukristo na Uislamu.
Watu wanatukanana na kukashifiana kwa dini zao kwa kiwango ambacho...
Katika yote suala la kuhatarishwa maslahi ya uwekezaji wake ndio la msingi na linalowafanya Marekani watake kuchukua hatua dhidi ya nchi yoyote ile.
Maslahi yao yakihakikishwa hakuna cha haki za binadamu, utawala bora wala inayoitwa demokrasia. Watapiga kimya na kufumbia macho kama hawaoni...
Bila kujali mtu upo upande gan katika mjadala huu ni kanuni ya kisheria na ki mantiki kwamba wajibu wa kuthibitisha madai au hoja ipo kwa mleta madai/hoja na kamwe mzigo huo asibebeshwe mtu mwingine.
Ni hatari na kwakweli si uungwana kutoa madai ya jumla jumla halafu eti anaye hoji au kupinga...
Dah! Kumbe madai haya ya kua na 69% ya Wakurugenzi wa Halmashauri hayajafanyiwa tafiti kujua kama ni ya kweli au uzushi!!!? Halafu watu wameparurana hapa kwa uzushi tu
Tuleteeni data kusapoti hoja na kuipa heshima mijadala ya JF
Jumatatu moja nilimpeleka Mzee wangu (hana Bima) Amana Hospital Dar kumuona Urologist, tukalipia consultation fee 10K . Wakati majibu ya vipimo yanatoka Dr alikua ameshaondoka ikabidi kurudi next Thursday ambayo ndio siku ya clinic ili asomewe majibu yake
Tuliporudi hiyo siku tukaambiwa tulipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.