Recent content by right winger

  1. R

    Mchungaji wa CUF? Seriously tunahitaji majibu toka CUF!

    Hui hofu juu ya Dini nyingine itatuweka pabaya hivi karibuni. Arusha masheikh feki walipandishwa NMC grounds na hakukua na thread ya kulizungumzia hilo, hebu tujadili yanayojenga yaliyoletwa na yatokanayo na mkutano huo na kama yana tija kwa taifa! Udini hautatufikisha mahali.
  2. R

    Dr. Ndarichako jipange ur next.....

    Unaonekana hujui usemalo,hata habari za kimataifa za ki-copy paste kwenye magazeti huwezi kuzielewa!? Akili mgando kweli! Kama Syria kuna fitna basi ni za US na washirika wake na uwezo wako wa kufikiri umegomea hapo!
  3. R

    Maandamano haya ni ushahidi tosha kuwa 'intelijensia' ya polisi ni ya kisiasa

    Mwembechai waliuliwa 27,raid alikua mkapa na rpc Gewe! Waislam walipolalamika wakaobekana wajinga na maaskofu wakasifia upuuzi ule.Leo tunataharuki Lyons mitaa ya jiji imejaa! Waacheni watumie uhuru wao,kesho jumapili nasi tuingie mitaani kudai igp,rpc,mkurungezi usalama na Mzee wa kaya na...
  4. R

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Una mboyoyo sana kwa ufinyu wa mawazo yako!kwa mtaji huu hamtawahi kujadili mambo kwa ufanisi na kuyapatia ufumbuzi. Kama huna la kuchangia kuwa msomaji!
  5. R

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Mbona mnashindwa kujibu Pengo ana nafasi gani katika (taifa) la vatican hali ya kuwa yeye si raia wa"nchi" hiyo? Zinazowagusa mnarukaruka tu! Tuendelee na mada ila najua point ya Mukandara has been driven home and got u thinking!
  6. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    FF Wala usipate shida,wenzio wametumwa na chama cha kanisa,ndio maana wanataka kuharibu mad kwa porojo zao za siasa.Waanzishe mada nyingine ya siasa hizo tutachangia!
  7. R

    Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

    Naomba kukuuliza maswali...wewe ni muingereza,mjerumani au mfaransa? Mswahili ni mtu wa aina gani kwa tafsiri yako?
  8. R

    Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

    Usilolijua ni kama usiku wa kiza! Muda ukijiri Utajuzwa!
  9. R

    Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

    Swadakta mzee Said,huna haja ya kutukanana na mtu.tunasoma na kuelimika mwisho wa siku tunafanya maamuzi na si kutokana na maandishi yako tu bali na vitabu/mijadala mingine n.k.Umefanya ulichojaaliwa na kwa mtu aliyezaliwa kabla ya 1953 kutoa lugha chafu kama zake haishangazi kuona mjukuu wake...
  10. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Duh! Madrasa zinafundisha kuchukia wakristo! Loh! Hebu tujuze kwa ushahidi,maana wengine tunaishi karibu nazo. Tupe ushahidi wa haya madai tafadhali!
  11. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Kwa mimi mkazi wa Muheza nakushangaa sana unapojifanya kutoa shahada na kusema uongo mtakatifu ili tu upinge hoja.Tunalipia kila huduma inayotolewa teule!wacha uongo!
  12. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Naomba list ya hizo hospital zako za kanisa zinazotoa huduma bure na mahali zilipo pls!?
  13. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Mbona hizi ni hadithi za alflelaulela?Tafadhali tujuze nini maana ya neno Agha Khan kabla hujatuambia ni cheo cha ki-Imam. Imam ni cheo cha kiongozi wa waumini chenye vigezo vinavyotumika kumpata na sio kurithi kama unavyolazimisha watu waelewe upotofu wako ktkt swala hili.Kuna...
  14. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Kwa fikra kama zako ni wazi hakuna ukombozi wa nchi wala wananchi wake!Badala ya kutoa mchango watu wajadili vipi namna ya kuondoa makovu haya yaliyojaa kwenye jamii zetu unaleta siasa za ccm na chadema ambao basically wote ni wale wale hawana jipya wanataka kuongoza walio hoi kiuchumi na...
  15. R

    Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika

    Mzee!! Majina ya Kiislam yapo na ya kinaswara pia yapo ndio kama Yasin,Tawfiq n.k na ya kinaswara ndio kama Williams,jackson,james,underwater,underbridge n.k . Upo?
Back
Top Bottom