Recent content by Right Marker

  1. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi ni daraja la mafanikio ya wafanyabiasha

    Je, unaweza kutoa ufafanuzi wa msemo huu? "WAFANYAKAZI (WAAJIRIWA) NI DARAJA LA MAFANIKIO YA WAFANYABIASHARA"
  2. Right Marker

    JamiiForums Tanzania KERO Chuo Kikuu Huria (Open University) hawanipi ushirikiano ninapoulizia kuhusu kufanya research

    Nipe namba yako ya simu, au E-MAIL yako (Inbox) nikuunganishe na wahusika.
  3. Right Marker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwa huna hela mwanamke anajibu SMS zako kwa emojs tu

    Ukiwa huna hela, ukimchatisha mwanamke (WhatsApp) anayekujua kuwa huna hela huwa ana-reply kwa emojis tu. Emojs zenyewe ni zile GIF. Wakati mwingine hata ukimtext jambo la serious ambalo halichekeshi, yeye ana-reply kwa emoj ya kucheka. Kama unamtext mwanamke lakini hakujibu kwa maneno...
  4. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Aliyefanikiwa (HESLB LOAN) kipengele cha kujaza RITA VERIFICATION NUMBER (DEATH)

    Wakuu kwema? Ninamwombea mdogo wangu mkopo wa HESLB. Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye amefanikiwa katika kipengele cha Preliminary Information kujaza RITA VERIFICATION NUMBER ya DEATH. RITA VERIFICATION NUMBER (DEATH) tayari zimeshapatikana, lakini kwenye mfumo wa HESLB zinakataa/zinagoma na...
  5. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Mzazi unapaswa kujali usalama wa mtoto wako

    Sikuhizi wazazi wamekuwa wavivu sana katika uangalizi wa watoto wao. Wazazi wanawaacha watoto wao wadogo wanavuka barabara kuu (high way) pekee yao wakati wa kwenda shule. Right Marker Dar es salaam
  6. Right Marker

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Wanaotaka tusishiriki Uchaguzi wamechanganyikiwa

    Ni kweli hujamuelewa. Anasema hivi; sheria ilikuwa haiwaruhusu TISS kukukamata wewe. Polisi wasiokuwa na magwanda watakukamata wewe kwa kujitambulisha kwa majina yao, kituo chao cha kazi, kukuonyesha kitambulisho cha kazi, watakwambia kosa lako, Kisha wanakukamata.
  7. Right Marker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muogope mtu mwenye kauli hii; 'Mimi najiamini, kila mwezi napima UKIMWI'

    Katika pita pita zako za mapenzi na mahusiano, hakikisha unamuogopa mtu mwenye kauli hii; "Mimi najiamini, kila mwezi napima UKIMWI". Ukikutana na mtu mwenye hiyo kauli hakikisha unavaa, yaani usiache kuvaa mipira. Kama huna desturi ya kuvaa basi kimbia mbio. Right Marker Dar es salaam.
  8. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Nina simu, ila sipendi watu wanipigie tuongee. Hii tabia ninayo pekee yangu tu?

    Hali hiyo huwa inakuja pindi ukiwa na madeni mengi usioweza kuyalipa. Wewe una madeni mengi ambayo yamekushinda kulipa
  9. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Tusipostaafu 'maneno' - tukitangaza kustaafu pia 'maneno'

    Tukifanya kazi bila ukomo vijana wanauliza; 'kwanini hatustaafu ilhali kuna kundi la vijana hawana ajira' Tukiamua kustaafu vijana hao hao wanauliza; 'kwanini tumestaafu au tumegombana na mabosi zetu'. NB: Basi niwaambie kitu wazee wenzangu; binadamu hawaachi kusema, hasa wale ambao wanatamani...
  10. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Sahau kufanya biashara na mwanaume anayekwambia 'Subiri nimshirikishe mke wangu'

    Madalali watakuwa wameshanielewa. Ni ngumu sana kufanya biashara na mwanaume anayekwambia usubiri akamshirikishe mke wake ili mkewe atoe "Go ahead" ndipo mfanye biashara. Hiyo si biashara tena, ni mahaba😀 Hakuna ambaye hajui kuwa asilimia kubwa ya wanawake sio risk taker, wengi ni waoga ingawa...
  11. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Makundi yote ya WhatsApp Tanzania yamegeuka kuwa makundi ya ushabiki wa Simba & Yanga

    Makundi yote ya WhatsApp Tanzania yamegeuka kuwa makundi ya ushabiki wa SIMBA & YANGA. Hatukatai kwamba mpira ni burudani kubwa sana hapa nchini, lakini sasa imekuwa kero kwenye makundi ambayo hayakuanzishwa kwa ajili hiyo. Unakuta kundi linaanzishwa mahususi kwa ajili ya kupeana matukio na...
  12. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/2026.

    Huenda ni mtoto wako, au wewe mwenyewe unataka kujiunga na elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 kwa ngazi ya; 1. Shahada ya awali (Bachelor's Degree) au, 2. Shahada ya Umahiri (Master's Degree) au, 3. Shahada ya Uzamivu (Doctor of Philosophy - PhD). Hata hivyo unatamani kufahamu zaidi...
  13. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Je, una tukio gani la bodaboda lililowahi kukuudhi?

    Ukimkuta bodaboda hospitali amevunjika viungo chake vya mwili utamwaga machozi mengi sana. Lakini pindi unapomwaga machozi yako usijaribu kukumbuka fujo zao za mtaani/barabarani, hakika machozi yako yatakata papo hapo, utaanza kucheka kitu ambacho si kizuri kama binadamu. Aisee hawa jamaa...
  14. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Je, huwa unagundua hasara/faida baada ya kufanya uamuzi?

    Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kwenye maisha ya kujitafuta/utafutaji/kufanya uamuzi, watu wamegawanyika katika makundi matatu. 1. Watu ambao wana kipawa cha kugundua hasara/madhara kabla ya kufanya uamuzi.... Hawa ni watu ambao wanapata majibu ya uamuzi kabla ya kufanya uamuzi. Kwa mfano...
  15. Right Marker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Somo kwa wanawake: Usikubali kuishi na mwanaume kwa zaidi ya miaka 5 bila kufunga ndoa

    Acha kupumbazwa na ahadi lukuki zisizokuwa na kichwa wala miguu. Ukiona sehemu haina mwelekeo ondoka. Eti ooh! ~ "Subiri nijipange; kisha tutafunga ndoa". ~ "Subiri tujenge; kisha tutafunga ndoa". ~ "Subiri nipate hela ya kupanga vyumba viwili; Kisha tutafunga ndoa". ~ "Subiri nimalize chuo...
Back
Top Bottom