Recent content by Ridomil

  1. R

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hyo habari ndio imekwisha
  2. R

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mwalimu anajaza beki kibao Hakuna mwalimu hapo Kuna jmaa huwa anasema Alonso ni takataka ssa nakubaliana nae hana mbinu kila game anakalili mfumo wake wa beki 3 umefeli tayari kwa nn hataka kubalika beki zake zote Leo hawana akili hata mmoja Barco anafanya nn nje mbona anakuwa mbishi hakika...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mama Samia jitathmini unaoenekana haupo sawa kabisa. Uoga uliopitiliza huwaamini hata VP wako?

    Kwa hyu jmaaaa ni ???? Wakuui
  4. R

    JamiiForums Tanzania CDF ,IGP, DPP jiandaeni kujibu Aliyeua Watanganyika Oktoba 29 2025 ni nani? Na Nani aliwapa Order ya Kuua Watanganyika Oktoba 29!

    Kwanza nauliza pia sir siraha walipewa na nani
  5. R

    JamiiForums Tanzania Jaji wa Lissu: Sheria haizui Mahakama kutoa wito kwa Rais ili kuja kutoa ushahidi

    Kujikojolea
  6. R

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Yaaani walichokiandika watu wenye akili ni tofaiti sana watu wanaongelea kesi ya bangi ww unaongelea Madhara ya bangi huoni umeongea tofauti sana tumia kichwa
  7. R

    JamiiForums Tanzania Daktari Bingwa wa Mloganzila, Conrad Agonza, anayedaiwa kumshambulia Trafiki afikishwa Mahakamani, 10/09/2026

    Wanaume mnavyogopa kupoteza kazi kana kwmba kazi ndio mwisho wa maisha
  8. R

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Mbona kma sanamu la Posta
  9. R

    JamiiForums Tanzania Nimeuliza AI swali kuhusu treason ikanijibu hivi

    Hakika inadkirisha kwa Tanganyika
  10. R

    JamiiForums Tanzania Je, eda ya Samia kuzua mgogoro wa kikatiba?

    Dah yaaan kma mchawi
  11. R

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Aseee kweli nyie arse8 yaaani page hiii imegeuka yenu kila tukichungulia hamtoki mnashabikia mpira kitoto sana yaaani kushinda kna kwamba Leo ndio kushinda au ndio mnafurahi kumfunga BINGWA WA DUNIA
  12. R

    JamiiForums Tanzania Leo imetimia Miaka 9 tangu Tundu Lissu apigwe risasi 16

    Tuma picha kidgo tuone palivyo pazuri
  13. R

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Kwan humu Jf nauliza hakuna watu wanaoweza pata nafasi na mawaziri au wakuuu muongeeee nao mje mtupe wanavyowaza maana naona kma wanafikilia kitoto sana
Back
Top Bottom