Recent content by Ridomil

  1. R

    JamiiForums Tanzania LIVE Mahakama: Lissu ana Kesi ya kujibu kutokana na ushahidi wa Jamhuri uliotolewa (Agosti 21, 2026). Amtaja Rais Samia kuwa shahidi wake

    Yaaani Leo kawapaka mafuta kweli TAL hatari sana kabudi anashangaaa
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mawakili wa Serikali wapinga Rais Samia na wenzake kuitwa mahakamani

    Katuga ndio wakili bora na WWE uwe akili timamu basi hata kidgo Nasoro huyu huyu kweli
  3. R

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anajitoa Kafara au anapigania Haki?

    Mie kwa upeo wangu naona kma CCM wanajichimbia shimo wao kwani hakuna watu wa kufanya tasimini mtaaani kunaongea nni mbona mpka watu wa chama CCM wanaongea
  4. R

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Ok mkuuu ujanijibu nzuri au mbaya
  5. R

    JamiiForums Tanzania Ewe mtoto mwenye kiburi, ipo siku utatuonyesha ulikomficha Humphrey Polepole

    Kwa jinsi inchi yetu ilivyo haliwezekani huenda kutokea mpka Tanzania ipate ukombozi mifumo na muuundo wa serikari ubadilishwe I mean katiba na kila kitu Ila bila hivyo kutokea hayo yaliotokea kwa watoto wa viongozi kutokea kwa mtoto wa Mdox ngumu sana wanakuwa a kinda kubwa sana
  6. R

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa Sept 9

    Tunao Tulia Samsung safi mie nimetulia
  7. R

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Haha eti asijifanye anko wa Cole palmer
  8. R

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio mashahidi wa Lissu, iwapo mahakama itaamua kwamba ana kesi ya kujibu

    Haweza mkuuu CCM kumuachia TAL
  9. R

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Haha pole kwa kujua nimejiunga mwezi jana
  10. R

    JamiiForums Tanzania Angekuwepo Magufuli, bei ya cement isingefikia Tsh 28000/= kanda ya ziwa

    Mkuuu Sema yoteeee Ila kwenye MBOLEA USISEME MAAANA NITAKULETA TAKWIMU HALISIA MAAANA MIE NAFANYA BIASHARA YA MBOLEA MWAKA WA 22 SSA MAGUFULI KWA MBOLEA USISEME LOLOTE ACHA ROHO MBAYA MKUUU
  11. R

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Alie check SUCCESSION naomba kujua maaana nataka kuishusha kwa alie cheki
  12. R

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Mwamba alikuwa akiniambia ni kali ujua kweli hatar
  13. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: Kauli ya Mary Chatanda kuwafuta CHADEMA ilikuwa ni tambo tu za kisiasa

    Tanzania 🇹🇿 huenda ndio inchi ambayo MUNGU ALIUMBA MASHETANI NA KUYATAWANYA MAENEO MENGINE YA DUNIA MAAANA CCM
Back
Top Bottom