Mie kwa upeo wangu naona kma CCM wanajichimbia shimo wao kwani hakuna watu wa kufanya tasimini mtaaani kunaongea nni mbona mpka watu wa chama CCM wanaongea
Kwa jinsi inchi yetu ilivyo haliwezekani huenda kutokea mpka Tanzania ipate ukombozi mifumo na muuundo wa serikari ubadilishwe I mean katiba na kila kitu Ila bila hivyo kutokea hayo yaliotokea kwa watoto wa viongozi kutokea kwa mtoto wa Mdox ngumu sana wanakuwa a kinda kubwa sana
Mkuuu Sema yoteeee Ila kwenye MBOLEA USISEME MAAANA NITAKULETA TAKWIMU HALISIA MAAANA MIE NAFANYA BIASHARA YA MBOLEA MWAKA WA 22 SSA MAGUFULI KWA MBOLEA USISEME LOLOTE ACHA ROHO MBAYA MKUUU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.