Mwalimu anajaza beki kibao
Hakuna mwalimu hapo
Kuna jmaa huwa anasema Alonso ni takataka ssa nakubaliana nae hana mbinu kila game anakalili mfumo wake wa beki 3 umefeli tayari kwa nn hataka kubalika beki zake zote Leo hawana akili hata mmoja
Barco anafanya nn nje mbona anakuwa mbishi hakika...
Yaaani walichokiandika watu wenye akili ni tofaiti sana watu wanaongelea kesi ya bangi ww unaongelea Madhara ya bangi huoni umeongea tofauti sana tumia kichwa
Aseee kweli nyie arse8 yaaani page hiii imegeuka yenu kila tukichungulia hamtoki mnashabikia mpira kitoto sana yaaani kushinda kna kwamba Leo ndio kushinda au ndio mnafurahi kumfunga BINGWA WA DUNIA
Kwan humu Jf nauliza hakuna watu wanaoweza pata nafasi na mawaziri au wakuuu muongeeee nao mje mtupe wanavyowaza maana naona kma wanafikilia kitoto sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.