SIKU 10 baada ya kupokea taarifa inayoeleza utaratibu uliotumika kumhamisha faru John kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda Sasakwa Black Rhino Sanctuary iliyoko Hifadhi ya Grumeti, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu kuchunguza utaratibu huo, ikiwa ni pamoja na kutafuta...
hata kama watu wanakosea lazima mtu utumie maneno ya kiungwana na maadili tena especially mbele ya hadhara! kwa upande wangu mh makonda hajatumia ustaharabu na hekima kwa yule mama
hawajakataza dangote kuchukua makaa ya mawe south! the issue is dangote ilikua inaingiza izo material free yaan walikua hawalipi tax,jk aliwapa tax exemption,sasa hv wameambiwa wavune makaa ya mawe hapa na kama wanaona ni low quality bhasi wakiagiza wanapigwa tax kama kawa sasa hii ndio sababu
the fact is, dangote ilikua inachukua materials south africa na walikua wanaingiza hapa nchini free yaan walikua wana tax exemption na hivi ndivyo walivokubaliana na awamu iliyopita ya jakaya, sasa awamu hii ya jpm wakawambia those materials zinapatikana hapa kwahiyo wachukue hapa hapa na kama...
ivi vyeo vya kupewa navyo ni matatizo matupu huyu makonda ana sifa za kijinga na anapenda sana sifa,anataka aonekane kwamba ni yeye pekee ndo anajua kufanya kazi dar es salaam hii nzima! anapenda sana kutumia vyombo vya habari ili aonekana anafanya kazi sana lakini hakuna lolote zaidi ya mboyoyo...
huyu nae sasa naona mambo yakuongea hana tena, me naona aanze kupunguzwa yeye kwanza hafu wengine ndo wafuate, yaani hawa viongozi wa juu kazi yao wao kuongea tu lakini utekelezaji upo ngazi za chini sasa asichukulie simple tu! yeye mwenyewe ni mlopokaji na misifa kibao but utekelezaji zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.