Recent content by Richer

  1. R

    Rais Samia: Ni dhambi kubwa kupata cheo ukavimba mabega, ukapandisha ukawa untouchable, 'Wewe unanijua mimi nani? Who are you?'

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiapisha viongozi aliowateua leo Mei 6, 2026, Ikulu ya Chamwino Dodoma, ametoa onyo kali kwa viongozi wa umma dhidi ya tabia ya ujeuri na majivuno mara baada ya kupata madaraka. Akizungumza katika hafla iliyofanyika Ikulu, Rais Samia...
  2. R

    Samia: Ukiapa unaapa mbele ya Mungu, Serikali inaamrishwa tu kupitia Rais kwamba huyu ana haya na haya weka pembeni

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi waliokula viapo vyao leo Mei 6, 2026 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uadilifu, akisisitiza kuwa kiapo ni ahadi nzito mbele ya Mungu. "ukiapa unaapa mbele ya Mungu. Hii...
  3. R

    Burkina Faso yaifungia Televisheni ya Ufaransa 'TV5 Monde' kwa habari za uongo

    Burkina Faso imeipiga marufuku televisheni ya Ufaransa, TV5 Monde, ikiituhumu kwa kueneza "habari za uongo" kuhusu hali ya ugaidi nchini humo na nchi jirani ya Mali. Uamuzi huo ulitangazwa na mamlaka ya kusimamia vyombo vya habari nchini humo siku ya Jumanne Mei 5, 2026. Hii si mara ya kwanza...
  4. R

    Zungu: Lazima tukubali hotuba yako Rais wa Kenya inashawishi na itakumbukwa

    Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemshukuru Rais wa Kenya kwa hotuba aliyotoa leo Mei 5, 2026, Bungeni Dodoma akibainisha kuwa hotuba hiyo inashawishi, ya kihistoria na itakumbukwa "Mheshimiwa Rais wa Kenya, lazima tukubali kwamba hotuba yako uliyoitoa...
  5. R

    Rais Ruto: Makampuni ya Kenya yamewekeza dola bilioni 1.7 Tanzania, huku ya Tanzania yamewekeza dola milioni 336 Kenya

    Akihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Kenya, William Ruto amebainisha kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zinazotegemeana, akieleza kupitia Uhusiano wa Biashara kati ya nchi hizo mbili imefikia kiwango cha dola milioni 860 kwa mwaka 2025 huku ikitarajiwa kufikia kiwango cha...
  6. R

    Rais Ruto: Maadui wetu siyo Wakenya wala Watanzania, ni ajira na umasikini

    Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili. Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
  7. R

    Mwanasheria Nathaniel Maseke: Kuna kijana hadi sasa hamfahamu Waziri Mkuu, Vijana wana vipaumbele vyao

    "Kuna kijana hadi sasa hamfahamu Waziri mkuu wa Nchi, Makamu wa Rais ila anafahamu wimbo gani uliotoka hivi karibuni, matokeo ya michezo mbalimbali kwasababu ndiyo kipaombele chake" - Nathaniel Samson Maseke - Mwanasheria
  8. R

    Kihongosi: Katiba mpya ni ajenda ya CCM na tuwahakikishie Watanzania kabla ya 2030 tutakuwa na katiba mpya

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema; "Katiba mpya ni ajenda yetu na tuwahakikishie Watanzania kabla ya mwaka 2030, tutakuwa na katiba mpya ambayo itakuwepo. Lakini ikumbukwe...
  9. R

    Kihongosi: Heche alipotosha kusema CCM inaazima viongozi kutoka vyama vingine

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche alipotosha kwa kusema CCM wanaazima viongozi kutoka vyama...
  10. R

    Kihongosi: Mageuzi hayazaliwi barabarani wala kwenye majukwaa ya lawama, kuna vyama vinaamini katika vurugu

    Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuamini katika nguvu ya mazungumzo kama njia pekee ya kuleta mageuzi ya kweli na maendeleo nchini, badala ya kukimbilia maandamano ya barabarani au vurugu. Akizungumza na waandishi wa...
  11. R

    Mchinjita: Tume inasema raia 518 wameuawa kwa kupigwa na vitu vyenye ncha kali, Wanakwepa kwamba ni risasi ndiyo iliyotumika

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, amesema; "Tume imeshindwa kabisa kusema chochote juu ya nani aliwaua wananchi zaidi ya 518. Ripoti yote tume inasema inakwepa lakini inapofika mahali ieleze nani aliyeua, tume...
  12. R

    Mchinjita: Tunaendelea kuikataa ripoti tume ya Jaji Chande, inalinda wauaji na inavisafisha vyombo vya ulinzi vilivyohusika, takwimu zinajikanganya

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Bara), Isihaka Mchinjita, amesema msimamo wa Kamati Kuu ya chama hicho kuendelea kuikataa rasmi Ripoti ya Tume ya Jaji Chande, akidai kuwa imeundwa mahususi kwa ajili ya kuwasafisha wahusika wa matukio ya mauaji ya Oktoba 2025 badala ya...
  13. R

    Mchinjita: Tume imetumia muda mrefu kuchunguza picha walizoita ni AI lakini haikuangaika watu waliuawa na nani

    Makamu Mwenyekiti wa ACT wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, ameeleza kuwa tume ya kuchunguza matukio ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu 2025, imetumia muda mwingi na rasilimali nyingi kujaribu kukanusha picha na video zilizosambaa zikionyesha...
  14. R

    Makonda: Wizara imetoa mafunzo kwa watengeneza maudhui mtandaoni 931

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2026/27, leo Mei 04, 2026
  15. R

    Kambarage Wasira akiomba kura kwa wabunge kumchagua kuwakilisha katika Bunge la EALA

    Kambarage Masatu Wasira akiomba kupigiwa kura za ubunge katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo Mei 4, 2026 Bungeni Dodoma
Back
Top Bottom