Recent content by Richer

  1. R

    JamiiForums Tanzania Neville Meena: Watu wa serikali wajifunze kuheshimu kazi za waandishi wa Habari, sisi tumesomea hii kazi

    Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa nchini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ameeleza kuwa udhibiti mkubwa wa Serikali kupitia taasisi zake...
  2. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Neville Meena: Vyombo vya habari vilidhibitiwa na Serikali siku ya uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Vijijini (RUJAT), Neville Meena, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa chini, amesema Siku ya Uchaguzi oktoba 29, 2025, Serikali ilidhibiti Vyombo habari "Ukifuatilia taarifa za habari za vyombo vya...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: CCM ishauri Serikali ifute kesi zote zenye viashiria vya kisiasa kama hatua ya kwanza ya maridhiano

    Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniphace Mwabukusi, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa nchini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ameeleza kuwa kutoridhishwa kwa wananchi na hali ya kidemokrasia na...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Nitakwenda Tabora kumtetea Sophia, kumtongoza Mkuu wa Mkoa siyo Jinai

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa X, Wakili Peter Madeleka ameandika: "Nitakwenda Mahakmani kule Tabora kumtetea Sophia kwa kuwa, kwa mujibu wa sheria siy jinai kwa Sophia kumtongoza Mkuu wa Mkoa." Ikumbukwe kuwa Septemba 7, 2026, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Matiko Chacha wakati...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Nawapa pole wale wanaodhani hawana Uhuru wa kuongea, 2010 mambo yalikuwa magumu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema: "Nia ni kuleta maridhiano, na kuhakikisha Watanzania wana maridhiano...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Kuandaa katiba ya Tanzania sio kazi ngumu, tuna references za sasa na zamani za kutumia

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema: "Kwa sababu dialogue katika ujenzi wa nchi haiwezi kuwa jambo... it's...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Wasira: Hakuna aliyesema kwa niaba ya wananchi akaondolewa, CCM si Malaika

    Akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), STephen Wasira, amesema "Sasa, nimjibu bwana wa UDASA. Maana bwana wa UDASA ametuonea kidogo...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Sheikh Ponda: Wanasiasa walifuta Baraza la Wazee TAA Siasa ikaanza kukosa watu muhimu

    Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, akizungumza kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari Hali ya Kisiasa nchini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema historia inaonyesha kuwa viongozi wa dini ndio waliotoa mchango mkubwa na kutafakari juu ya...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Othman Masoud: Hatarishi kubwa ya Muungano ni katiba yetu ya sasa hivi

    Akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa uluiondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othuman Masoud, amesema Katiba ya sasa ndiyo inahatarisha Muungano wa Tanganyika Zanzibar. Nukuu ya Maandishi...
  10. R

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Wazee wameanza kuogopa kuongea, mambo yameanza kubadilika

    Salum Mwalimu aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHAUMMA, akizungumza leo Septemba 8, 2026, kwenye Mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa chini ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), amesema kuna changamoto ya kuchagua ukweli jambo linaowafanya Wazee kuogopa kuzungumza huku...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Doyo: Tusiwaze kukodi watu kuja kuwaeleza matatizo ili tufikie makubaliano

    Katibu Mkuu wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, akizungumza leo Septemba 7, 2026 kwenye mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, amesema haiwezekani kukodi watu au kuita wageni kuja kusikiliza matatizo ya Taifa ili kufikia makubaliano. Doyo amerejea maridhiano yaliyofanyika...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti chama cha AFP: Sikubaliani na Katiba ya Warioba imepitwa na wakati

    Akizungumza kwenye mkutano wa Kitaifa wa Kutafakari hali ya Kisiasa nchini, uliofanyika leo Septemba 7, 2026, Mwenyekiti wa Chama cha cha AFP, Said Said amesema haungi mkono Katiba ya Warioba kwani imepitwa na wakati. Amependekeza Kamati ya Maridhiano kukaa pamoja na kujenga hoja ya Katiba ili...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mchinjita: Tupate Kalenda ya Utekelezaji wa Katiba Mpya

    Waziri Mkuu Kivuli wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita, akizungumza leo Septemba 7, 2026, kwenye Mkutano uliondaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wa kutafakari hali ya Kisiasa nchini, ni muhimu kupata ratiba ya mchakato wa utekelezaji wa Katiba mpya
  14. R

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Mliyakataa ya Jaji Nyalali, Mkachukua tu Vyama vingi

    Jenerali Ulimwengu, amekosoa vikali mfumo wa kisiasa nchini na namna nchi ilivyoingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila kufuata ushauri wa kina uliotolewa na Tume ya Jaji Nyalali mwaka 1992. Akizungumza leo Septemba 7, 2026, katika mkutano uliowakutanisha wadau kujadili hali ya kisiasa nchini...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Padri Furaha: Sasa hivi kila mtu anaita 'Press' kuongea bila utaratibu wakati kuna wasemaji husika wa vyama na Serikali

    Naibu Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) ambaye pia ni Padri Jimbo la Katoliki Moshi, Padri Dkt. Faustine Furaha, ametoa wito kwa jamii na viongozi kuheshimu uhuru wa kutoa maoni unaolindwa na Katiba ya nchi, huku akionya dhidi ya tabia inayoshika kasi ya kuwashambulia...
Back
Top Bottom