Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiapisha viongozi aliowateua leo Mei 6, 2026, Ikulu ya Chamwino Dodoma, ametoa onyo kali kwa viongozi wa umma dhidi ya tabia ya ujeuri na majivuno mara baada ya kupata madaraka. Akizungumza katika hafla iliyofanyika Ikulu, Rais Samia...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi waliokula viapo vyao leo Mei 6, 2026 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma, kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa uadilifu, akisisitiza kuwa kiapo ni ahadi nzito mbele ya Mungu.
"ukiapa unaapa mbele ya Mungu. Hii...
Burkina Faso imeipiga marufuku televisheni ya Ufaransa, TV5 Monde, ikiituhumu kwa kueneza "habari za uongo" kuhusu hali ya ugaidi nchini humo na nchi jirani ya Mali. Uamuzi huo ulitangazwa na mamlaka ya kusimamia vyombo vya habari nchini humo siku ya Jumanne Mei 5, 2026.
Hii si mara ya kwanza...
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amemshukuru Rais wa Kenya kwa hotuba aliyotoa leo Mei 5, 2026, Bungeni Dodoma akibainisha kuwa hotuba hiyo inashawishi, ya kihistoria na itakumbukwa
"Mheshimiwa Rais wa Kenya, lazima tukubali kwamba hotuba yako uliyoitoa...
Akihutubia Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Kenya, William Ruto amebainisha kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zinazotegemeana, akieleza kupitia Uhusiano wa Biashara kati ya nchi hizo mbili imefikia kiwango cha dola milioni 860 kwa mwaka 2025 huku ikitarajiwa kufikia kiwango cha...
Rais wa Kenya, William Samoei Ruto, leo Mei 5, 2026, amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kiuchumi na kuunganisha nguvu katika kupambana na changamoto zinazozikabili nchi zote mbili.
Pia soma Samia: Nimeongea na Rais Ruto, wale watoto wetu...
"Kuna kijana hadi sasa hamfahamu Waziri mkuu wa Nchi, Makamu wa Rais ila anafahamu wimbo gani uliotoka hivi karibuni, matokeo ya michezo mbalimbali kwasababu ndiyo kipaombele chake" - Nathaniel Samson Maseke - Mwanasheria
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema;
"Katiba mpya ni ajenda yetu na tuwahakikishie Watanzania kabla ya mwaka 2030, tutakuwa na katiba mpya ambayo itakuwepo. Lakini ikumbukwe...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akizungumza na Wandishi wa habari leo Mei 4, 2026 Jijini Dodoma, amesema Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche alipotosha kwa kusema CCM wanaazima viongozi kutoka vyama...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuamini katika nguvu ya mazungumzo kama njia pekee ya kuleta mageuzi ya kweli na maendeleo nchini, badala ya kukimbilia maandamano ya barabarani au vurugu.
Akizungumza na waandishi wa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, amesema;
"Tume imeshindwa kabisa kusema chochote juu ya nani aliwaua wananchi zaidi ya 518. Ripoti yote tume inasema inakwepa lakini inapofika mahali ieleze nani aliyeua, tume...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Bara), Isihaka Mchinjita, amesema msimamo wa Kamati Kuu ya chama hicho kuendelea kuikataa rasmi Ripoti ya Tume ya Jaji Chande, akidai kuwa imeundwa mahususi kwa ajili ya kuwasafisha wahusika wa matukio ya mauaji ya Oktoba 2025 badala ya...
Makamu Mwenyekiti wa ACT wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, ameeleza kuwa tume ya kuchunguza matukio ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu 2025, imetumia muda mwingi na rasilimali nyingi kujaribu kukanusha picha na video zilizosambaa zikionyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.