Akichangia hoja kwenye hotuba ya Bajeti ya Wizara Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Bungeni Dodoma Juni 1, 2026, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Kaskazini Pemba, Asya Sharif Omar amewakosoa vikali watu wanaopinga juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia...
A dormitory catches fire at Sameta Boys High School in Kisii County; its cause has not been immediately established.
One student who was reportedly inside the boarding facility at the time of the incident has been injured
------------
My take
The biggest question is " What is the source of...
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Amani Golugwa amesema chama hicho kinaisihi Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa nchini kufuata taratibu za kiutawala katika Mawasiliano yake kwani wamedai kuwa mara kadhaa taarifa za kimawasiliano baina ya chama hicho na msajili...
My take
This is exactly how Security Forces should address Citizens, at least huyu anajitambua, and should be an example to others to follow,
If the Tanzania Police had used this kind of peaceful approach during the October 29, 2025 demonstrations, the country could have avoided losing so...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo) akichangia hoja bajeti ya Wizara ya maendeleo ya jamii leo Juni 1, 2026 Bungeni Dodoma
"Huwezi kuwa umeishi na mwanamke ndani, anakusingizia ujauzito unalea miezi tisa, anazaa mtoto unamlea mtoto anafikisha miaka kumi, baadaye mnakosana...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo) akichangia hoja bajeti ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, kwa mwaka wa fedha 2026/27 leo Juni 1, 2026 Bungeni Dodoma
" Wizara hii imejikita zaidi kwenye kutetea wanawake, lakini tunapozungumzia maendeleo...
Habari wakuu,
Kuna jambo limekuwa likinipa mtatizo sana, wakati nakuwa nilikuwa nikipenda sana kusaidia jikoni kwenye mapishi hasa siku ya ubwabwa Maharage, huku nikimuangalia Bi mkubwa akiandaa kachumbari ya kunogeshea ubwaubwa. Inshort hadi sasa napenda sana kachumbari
Niliona Bi Mkubwa...
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Lin, amesema China itatuma timu ya wataalamu wa afya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ili kusaidia mapambano dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika ukanda huo
Lin aliongeza kuwa serikali ya China imeamua kutoa msaada wa kibinadamu kwa Congo na itaendelea...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, akizungumza katika Mkutano wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha Wakuu wa Idara/Vitengo vya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu katika Wizara, Idara zinazojitegemea,Wakala za Serikali, Taasisi na...
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, David John Mwambigija, akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Maji Moto, Jimbo la Kavuu mkoani Katavi,
"Njia ya kutatua haya sio kuunda tume. Kwanza wanakushauri vibaya. Ushauri mtamu na mzuri na wenye...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda amewataka wakuu wa mikoa Nchini kote Siku ya Jumanne, Juni 2, 2026 Kila Mkoa waweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys na Senegal...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akizungumza Bungeni leo Mei 29, 2026, Dodoma, kufuatia Mechi ya jana Mei 28, 2026 ambapo timu ya Serengeti Boys ilifanikiwa kutinga Fainali ya AFCON U17 baada ya kuiondosha Misri kwa ushindi wa mikwaju ya penalti 4-3 kufuatia sare ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.