Amesema Dkt.Tulia Ackson, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa ibada maalum ya kuaga Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi, katika Viwanja vya Bunge Dodoma leo...
Waandishi wa habari katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanakabiliwa na vitisho vinavyoongezeka kadri mapigano yanavyozidi kushamiri mashariki mwa nchi, kwa mujibu wa shirika la Reporters Without Borders (RSF). Shirika hilo linaonya kuwa nchi hiyo imekuwa moja ya maeneo hatari zaidi kwa...
Mkuu wa jeshi la polisi Afrika Kusini ametakiwa kufika mahakamani kuhusiana na kandarasi ya huduma za afya ambayo ipo chini ya uchunguzi wa jinai.
Jenerali Fannie Masemola “amekabidhiwa notisi ya kufika mahakamani” tarehe 21 Aprili kutokana na madai ya kuhusika kwake katika utoaji wa zabuni...
Rais Paul Kagame alitoa ujumbe mkali na usio na mzaha kwa viongozi wa serikali siku ya Jumatatu, akiwataka waache maneno matupu na wachukue hatua madhubuti kukabiliana na changamoto zinazowakabili wananchi, akiwakosoa kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao, akitaja kiburi na utaendaji mbovu kuwa...
Jeshi la Iran limekanusha taarifa za kuwepo kwa mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran, na kuibua mashaka kuhusu mpango wa amani wenye vipengele 15 unaodaiwa kuwasilishwa na Ikulu ya Marekani.
Ebrahim Zolfaghari, msemaji mkuu wa jeshi la Iran Makao Makuu Khatam Al-Anbiya, ametoa hotuba...
Kuna jambo nimeliona mara kwa mara katika Stendi ya Daladala ya Mbezi Luis au Mbezi Mwisho, nimekuwa nikilinyamazia kwa muda mrefu nikidhani labda linatokea mara chache, lakini kadri siku zinavyokwenda, hali inaendelea kuwa ileile bila mabadiliko yoyote.
Ni kwamba wafanya usafi wanaofanya kazi...
Chama cha Wanasheria wa Uganda (ULS) na Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (EALS) wamefungua kesi katika Mahakama ya Haki ya Afrika Masharik iliyoko Arusha, wakilalamikia ukiukwaji wa viwango vya kidemokrasia katika uchaguzi Mkuu wa Uganda uliofanyika Januari 15, 2026.
Wanadai Tume ya...
Muda mfupi baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kutangaza kusitisha kushambulia vinu vya nishati vya Iran kwa siku tano, Wizara ya mambo ya nje ya Iran imesema hakuna mazungumzo kati yao.
Imedai kauli ya Trump iko katika muktadha wa juhudi za kupunguza bei za nishati na kama njia ya kupata...
Chama cha Wanasheria wa Uganda (ULS) kimefungua kesi dhidi ya serikali, ikishutumu vikosi vya usalama kwa kuizingira nyumba ya kiongozi wa upinzani Robert Kyagulanyi 'Bobi Wine', huko Magere, kwa kutumia askari wenye silaha pamoja na ndege zisizo na rubani, wakidai ni kinyume na sheria.
Maombi...
Wacha tuendelee kufuturisha :BBRUHH:
-------
Daraja la Kibaoni Muongozo limekatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kukata mawasiliano
Mamia ya wananchi waliokwama katika eneo hilo, wamelazimika kutumia ngazi huku wengine wakihatarisha maisha yao kwa kuruka kwenye daraja jipya...
Jonathan Isanga Mugeere mwanajeshi mkongwe mwenye umri wa miaka 72 anayeishi katika Wilaya ya Luuka, ametoa wito kwa Rais Museveni kutekeleza Ahadi alizotoa mwishoni mwa mapambano ya Ukombozi ya Jeshi la NRA mwaka 1986 ikiwemo nyumba ya kisasa, gari na ardhi, akidai ni miongo minne sasa ahadi...
Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar na Rais, Michael Randrianirina, ametangaza Alhamisi kuwa mtu yeyote atakayeomba kuwa waziri katika serikali mpya atalazimika kufanyiwa kipimo cha mashine ya kugundua uongo (polygraph) ili kuchunguza uwezekano wa rushwa.
“Tutaweza kujua nani ni mfisadi na nani...
Wimbo unaonifanya kuwaza na kulia tena juu ya matatizo yangu, nikifikiria namna jamii mtazamo wa jamii, ndugu na familia kuwa chanzo cha mimi kusita kufanya maamuzi fulani au chuki yao kwangu kuniumiza
The last great american dynasty- Huu wimbo kaimba Tyler Swift na kutolewa 2020, Ni wimbo...
hapa nimeelewa maana ya huu msamiati, lakini pia huyu binti tunaweza kumjadili katika pande mbili ambayo ni wenda alikua na hisia kwa baba yake jambo ninaloamini huwa ni nadra sana na kwa upande mwingine ni alichoshuhudia haikuwa sahihi yeye kushuhudia maana baadae inajenga trauma mwisho wa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.