Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani, usalama na utulivu wa nchi, akieleza kuwa ndio msingi mkuu wa maendeleo na mafanikio yote yanayopatikana katika sekta mbalimbali, ikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi.
Akizungumza...
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Aggrey Mwanri, amewahakikishia Watanzania na viongozi wa kitaifa kuwa chama hicho kinasimama kidete nyuma ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika kuendeleza juhudi za kuleta maendeleo nchini...
Mahakama nchini Senegal imewahukumu watengeneza maudhui watatu wa mtandao wa TikTok kifungo cha jela pamoja na kulipa faini kwa kosa la kumtukana Rais, kwa mujibu wa wakili wao. Hatua iliyokoseolewa na baadhi ya watu wanaodai kuwa ni shambulio dhidi ya uhuru wa kujieleza nchini humo.
Watu hao...
Msaidizi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) Tundu Lissu, David Djumbe, amevishutumu moja kwa moja vyombo vya ulinzi na usalama nchini Tanzania kuhusika na tukio la kutaka kumteka na kumuua.
Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Mwanzo TV Plus Agosti 7, 2026...
Msaidizi binafsi wa Mwenyekiti wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Tundu Lissu, David Djumbe, amefunguka kuhusu mazingira yaliyomfanya akimbie nchini Tanzania baada ya kupokea taarifa za siri kutoka ndani ya mfumo zilizomwonya kuwa alikuwa hatarini kutekwa na kuuawa ndani ya siku...
Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi St. Louis wilaya ya Moshi mjini mkoani Kilimanjaro, aitwae Ian Macha (13), amefariki dunia, ikidaiwa kuwa ni baada kupigwa shoti wakati akijaribu kuingiza waya wa blenda kwenye swichi ya umeme, kwa lengo la kufanya mchezo usiku wa August 3...
Chama cha upinzani cha Namibia, Affirmative Repositioning (AR) kimepinga vikali uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus Tileinge Damaseb, kuwa mjumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi nchini Tanzania, kikisema hatua hiyo ni ya kisiasa na inaweza kuhatarisha uhuru wa mahakama ya Namibia.
Kwa...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema wakazi wa Mkoa huo wana kila sababu ya kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutokana na maendeleo yaliyofanyika katika miradi ya mabasi ya mwendokasi.
Chalamila amesema hayo Agosti 7, 2026 katika hafla ya kufungua na kutembelea mradi...
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania kutoa Ushirikiano kwa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria katika Matukio ya Ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, maarufu kama Tume ya Jaji Lila.
Amesema hayo leo Ahosti 7, 2026 katika...
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria katika Matukio ya Ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, uliofanyika Leo Agosti 7, 2026 Ikulu ya Dar es Salaam, Rais Samia ameeleza kuwa Tume hiyo imekabidhiwa hadidu za...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 07, 2026, amezindua rasmi Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusika wa Ghasia na Ukiukwaji wa Sheria katika Matukio ya Ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Rais Samia...
Nukuu hii imechapishwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Ubalozi wa Marekani Tanzania.
"Kuhusu misaada ya nje, hatutoi fedha tu; pia tunalenga kupata matokeo.” — Waziri wa Mambo ya Nje Marekani, Marco Rubio"
=========
"For foreign assistance "we’re not just providing money; we are also seeking...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kukamatwa kwa mmiliki na mjenzi wa jengo moja lililopo Masaki, baada ya kubainika kuwa walijenga ghorofa 13 badala ya ghorofa sita zilizoidhinishwa kwenye kibali cha ujenzi.
Akizungumza leo Agosti 6, 2026, wakati wa ziara ya ukaguzi wa...
Tume ya Kuzuia na Kupambana na rushwa na Makosa ya uhujumu uchumi ya Nigeria (EFCC), imeagiza kufungiwa kwa akaunti ya benki ya Serikali ya Jimbo la Osun iliyopo Kusini-Magharibi mwa nchi hiyo, ikitaja miamala ya kutiliwa shaka ya fedha za umma inayohusishwa na uchunguzi unaoendelea wa tuhuma za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.