Kama unaangalia hakikisha sio muoga maana inatisha zaidi ya The Conjuring 1,2,Movie hii, iliachiwa mwezi April mwaka huu 2019...Huu Ni Mfululizo Wa Filamu ya The Conjuring' inakuwa ya sita.
Movie hii inahusu Single Mother akijaribu kupambana na mzimu ambao ulikuwa unataka kubeba watoto wake...
Anaitwa Joyce Carol Vincent Alikuwa ni Raia wa Uingereza aliyezalliwa tarehe 19 October 1965 na kufariki December mwaka 2003 akiwa na miaka 38
Mwili wa binti huyu ulipatikana katika chumba ambacho alikuwa akiishi miaka miwili mbele baada ya kifo chake, inasemekana kuwa kilichomuuwa binti huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.