Watu wengi wanasema kuwa wazungu wasije kuja afrika wafirika tungekuwa maskini,lakini kwa ngu mimi naona wasinge kuja sasa tungekuwa matajiri kwa sababu walichukua mali nyingi sana ambazo kwa sasa tungekuwa tunawauzia wao na kupata fedha za kigeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.