Recent content by Richard nchegete

  1. R

    Akubali sehemu zake za siri kuliwa na fisi ili awe tajiri

    Maisha kutafuta wazeeee..! kwa hiyo jamaa kaliwa mazaga na atakuwa tajiri na hautaamini mazeee
  2. R

    Akubali sehemu zake za siri kuliwa na fisi ili awe tajiri

    Weeeeee......! acha kushangaa mazeeee......!
  3. R

    Hivi ni kweli kuwa wazungu waafrika tungekuwa masikini

    Kujua rasiliamali ulizonazo nazo hadi ufundishe hauna macho mzeeeeee,,,,,,,,,,,,,,?
  4. R

    Hivi ni kweli kuwa wazungu waafrika tungekuwa masikini

    Watu wengi wanasema kuwa wazungu wasije kuja afrika wafirika tungekuwa maskini,lakini kwa ngu mimi naona wasinge kuja sasa tungekuwa matajiri kwa sababu walichukua mali nyingi sana ambazo kwa sasa tungekuwa tunawauzia wao na kupata fedha za kigeni.
  5. R

    Msaada unahitajika wa haraka Tafadhali!! Katika hii Biashara ya KUKU

    oya jamaa kweli maji na sukari ni dawa kweliiiiii!!!!!???
  6. R

    Kinachoendelea NECTA kuhusu matokeo kidato cha nne na sita.

    Ishu ni matokeo tuuuuuu!!!!!.......,,,,!! jameni tufanye kuvuta subira yatatoka tuuuu!!!!!!!
  7. R

    Nimetongozwa na gegedu mwenzangu, nisaidieni mawazo!

    Mwanamgu kumbuka unapomwambia ampe tunda mwezako unampa mawazo na kumfanya afikri sanaaaaaaaaa!!!!!!
  8. R

    Nimetongozwa na gegedu mwenzangu, nisaidieni mawazo!

    Mwanangu angalia atakupiga beki tanoooo!!!!
  9. R

    Nimetongozwa na gegedu mwenzangu, nisaidieni mawazo!

    GEGEDU_bata dume lakini kwa ye alikuwa anaimanisha MWANAUME
  10. R

    Nimetongozwa na gegedu mwenzangu, nisaidieni mawazo!

    Oya inamaana hata chekechea hamkusoma gegedu_bata dume lakini kwa yeye anaimanisha mwanaume
  11. R

    Kwanini Ruge hakumshitaki Sugu?

    kwa sababu sugu ni mtu mwelewa
  12. R

    Je kuna athari zozote kuoa au kuolewa na mtoto wa mwisho au kwanza kuzaliwa

    by nchegete Tutajuaje sisi bro kama uko olijinal !!!!!???
Back
Top Bottom