Kwaupande wangu Mimi Tanesco nawasifu sana kwani huduma yao kwasasa imeboreka tofauti na zamani tatizo letu sisi watanzania ni kulalamika tu. Basi tuwasifu hata kwa hicho kidogo wanacho kifanya. Na swala la kukatika Umeme baadhi ya maeneo hiyo ni kutokana na itilafu zinazo jitokeza kitu ambacho...
Kwanza pole sana ila tatizo ni tigo wenyewe na siyo Tanesco cha msingi ukipata tatizo unaliga Simu maalumu ya Tanesco ila kama hauna Namba yao hata Namba ya imegencey ya kanda yako pia watakusaidia cha kufanya na utapata uduma bila shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.