Recent content by Richard K. Mchina

  1. R

    Askofu Kakobe: Usalama wa Taifa msihangaike nami. Adai kuna kiongozi kavaa hirizi!

    Mi napita tu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  2. R

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    Naunga mkono hoja hii lowasa ana haki ya kikatiba kuhama chama zaidi ya kimoja wanaosema ana uchu wa madaraka wamechanganyikiwa sbb wanajua mwisho wao ndo huu.
  3. R

    Vituko vya CCM

    Watanzania tuache unafiki sbb ni mabingwa wa kulalamika lkn hatuchukui hatua. katiba ikija mtajpigia kura 2.
  4. R

    CCM yatuma 'Kiboko ya CHADEMA' Rungwe Magharibi

    hawajakosea sana wapo sawa kabisaaa!!!! Yani tafsiri yake kwa yeyote atakayempinga atatwangwa na bastora umesahau kiwira alipowatishia watu na bastora? Huyo jamaa ni hatari sanaaa na kama ccm wanamtegemea huyo wamechochola sana.
  5. R

    Kinana: Katiba Mpya haileti Maendeleo, kama wewe ni masikini utakuwa masikini!

    Hahahahaaaaa Du!!! MICCM WANATAPATAPA KAMA MFA MAJI, INASIKITISHA SANA INAPOFIKIA WANAANZA KUPINGANA WAO KWA WAO LEO KATIBU MKUU ANAMPINGA MWENYEKITI WAKE, MWENYEKITI ALIJUWA MATATIZO YALIYOPO KATIKA NCHI HII NI KUTOKANA NA KATIBA NDO AKAAMUA KWA HEKIMA YAKE IUNDWE MPYA ILI KUTIBU MATATIZO HAYO...
  6. R

    Tundu A. M. Lissu hapuuziki

    Unajua Ndugu yangu hakuna Busara kama kuongea UKWELI!!! na ukiwa msema kweli lazima utachukiwa tu kwa sababu Lisu anagusa ajira za watu hao wanaoshinda wanawadanganya kila siku kwa ahadi bandia. KUBARI MABADILIKO DUNIA YA LEO NA NI YA MABADILIKO NA MABADILIKO NI KUAMBIANA UKWELI.
  7. R

    Ushindi wa ANC ni salamu tosha kwa CHADEMA na UKAWA yao

    Hujuwi unachoongea, wenye majibu mepesi na ya kisanii ni masisiemu. yamejaa uwizi tu. siku zenu zunahesabika.
  8. R

    Nape Nnauye: Viongozi wa UKAWA ni genge la wasaka madaraka kwa njia yoyote

    mnatetemeka nini? Kinachonishangaza mimi ni jinsi gani ccm wanahaha kama mfa maji, nape ni msemaji wa ccm leo anakuwa msemaji wa kuwatabilia ukawa mpasuko wa ccm hajauona du!!!! Nape ccm imekalia kuti kavu.
  9. R

    Mwakyembe amshushua Tundu Lissu...

    Yani sijakuelewa kabisa, hujatoa hoja ambayo Mwakyembe amemshushua Lisu naona ni lawama zolizojaa hofu tu, TUNDU LISU MMOJA NI SAWA NA JESHI LA WATU 1,000,000/= LAZIMA UKUBALI NA KAMA KAKOSEA MPELEKENI MAHAKAMANI SIO MNAPIGE KELELE WEEE. MALA NYINGI UKWELI UNAUMA SANA NA LAZIMA UKWELI USEMWE...
  10. R

    Kura mfumo wa Muungano isipigwe bungeni

    Du!!! nakumbuka maneno ya Yesu aliposema na wanafunzi wake kuwa " wataona na kusikia lakini hawataelewa chochote ndo sawa na wewe. Zanzibar wana bendera na wimbo wa taifa sasa nakuuliza swali Zanzibar sio taifa huru? utambulisho wa utaifa ni Bendera na wimbo wa taifa. acha ubishi wa...
  11. R

    Angalia Video za Kongamano Kuzungumzia Rasimu ya Katiba Bwawani Zanzibar

    Tahadhari Kwa Watanzania kama tunadai serikali tatu tudai tu, lakini tusithubutu kujadili swala la ukabila kamwe hatutafika. Nakuunga mkono sana kuwa tuendelee kujitambua kuwa sisi ni WA TZ.
  12. R

    CHADEMA kusimamisha mgombea Kalenga ni kupoteza muda wao na hela za chama bure..

    Tanzania ni nchi ya demokrasia sasa unaposema vyama vingine wasisimamishe mgombea Kalenga unakosea sana. Na unapoipoint Chadema wakati kuna vyama vingi ni wazi kabisa unahofu sbb kama unaliamini unaloliongea usingewaomba Chedema. Kumbuka wananchi wanataka mabadiliko na waache waamue wao nani...
Back
Top Bottom