Ndugu nikijuacho mimi ktk mikutano hii ya kampeni, haihudhuriwi na wanachama bali na Watanzania wote.
Haipendezi hata kidogo kukubaliana na maneno yako kwa vile kila chama kinatangaza Sera zake kwa Watanzania na si kwa wanachama wao kwa vile wanaochagua ni watz na ni si wanachama tu...
Kwa hiyo itapigiwa kura na wanachama wake na wale tusio na vyama haturuhusiwi kuwasikiliza wala kuwapigia kura?
Hebu itafakari tena kauli yako hiyo na usiongee kishabiki.
Akiwa rais lini na kwa namna gani? Hata baada ya huyu ajaye tunamngojea apatikane Oct 25, hatutamhitaji tena yeye kwa vile naye vilevile ana uroho tu wa madaraka.
Hebu tujiulize jamani, kuna mtu anayekwenda kwa mganga akaongozana na umati kama huo au kuna jambo jingine hapo? Hebu tuwe wakweli.
Nijuavyo mimi, mambo yote ya mfumo wa giza, hufanyika gizani (sirini). Sasa iweje kwa hili?
Naombeni majibu ya kina na tuache ushabiki maana hata Chenge alipoamua...
Ninapenda kuuliza, tunaijua siri iliyompa Dr. Slaa na chadema kwa ujumla ktk uchaguzi wa mwaka 2010 na hiyo leo Dr. Slaa kujiona bora kuliko yeyote ndani ya chadema na hivyo kuwadharau wengine wote ila yeye tu?
Anayefahamu vizuri aeleze ili tusiendelee kudanganyika.
Anayefahamu kwa kina kile kilichomfanya Dr. Slaa kupata umaarufu mwaka 2010 na kwa hicho kumfanya ajione bora kuliko yeyote ndani ya chadema na hata kudiriki leo kuanza kudharau ovyo wengine, atueleze. Halafu baadaye nikitoka kanisani, nitaeleza vizuri maana ametuchosha.
Sina ushabiki wa vyama...
Nape alitamba kwamba Sumaye haiwezi kuhama na kwamba wanaotangaza hayo ni sawa na oil chafu ambayo inatoa moshi, sasa leo amehama, au na Sumaye amebadilika akawa oil chafu au yeye Nape ndo oil chafu? Hebu nisaidieni kwa hilo.
Unakutana na binti tena mtoto wako cha ajabu ana mimba wakati hajaolewa bado, unamuuliza mimba hiyo ya nani?....... Jibu, ni ya kwangu.
Nani kakupa? ...... Mwanamume!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.