Recent content by RIC WA KISHETI

  1. RIC WA KISHETI

    Gearbox ya Volkswagen Polo 2008 ABA-9NBUD inahitajika

    Wasalaam waungwana. Kwa unyenyekevu mkubwa sana, ninapenda kuwasilisha ombi langu rasmi la kuhitaji msaada wa kupata Gear box ya Volkswagen Polo 2008 ABA-9NBUD Namba ya Gearbox ni: V W AC AW5 096 321 107 AL SI 9CU JK Nipo Dar es Saalam. Ninahitaji kwa ajili ya kuinunua. Natanguliza shukrani
  2. RIC WA KISHETI

    Orodha ya Majimbo ambayo CCM wameyapoteza mpaka sasa

    Mkuu,jiongeze KATA 24 KWA KATA MOJA?KIPIGO CHA MONABAN KIMESOGEZWA MBELA ARUSHA,lakini LEMA NDO MSHINDI
  3. RIC WA KISHETI

    Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

    Chunga kauli zako za kijinga na kishetani.NILIUMBWA RIJALI,NITAKUFA RIJALI!!
  4. RIC WA KISHETI

    Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

    Hobbies zangu ni kusikiliza music,watch football na uandishi wa riwaya/ushairi na thamthiliya zangu
  5. RIC WA KISHETI

    Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

    Kwa kawaida goli moja huwa natumia 15-20 minutes.Then Hata nikimaliza kusex saa kumi jioni..mida ya night nashikwa na ugumu kama sijasex kwa Muda mrefu!!Ni ngumu kuniamini lakini ni kitu cha ukweli.Wanawake wengi ninaokutana nao kimwili huhisi kuwa nawakomoa but in reality huwa ni kawaida...
  6. RIC WA KISHETI

    Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

    sijakubuhu ila ni uwezo niliojaaliwa!!lowassa kura yangu atapata
  7. RIC WA KISHETI

    Nitumie njia gani niridhike nikifanya mapenzi?

    Mimi ni kijana wa kiume ninaishi Arusha.Kiukweli nimekuwa naboreka sana na kitendo cha kutoridhika na kutosheka kimapenzi.Kwa kawaida ninapokuwa faragha na mpenzi wangu huwa namchapa magoli sita mpaka nane lakini kila tukimaliza huwa bado najisikia kuendelea na tendo tena. Mara kadhaa nimekuwa...
  8. RIC WA KISHETI

    Msaada: Changamoto law UDSM

    Wadau wote wenye uelewa kuhusu Nobel professional ya law tunaomba kupata dondoo zote muhimu kuhusu changamoto,mbinu na namna ya kuweza kufaulu faculty hii ngumu ya law. Natanguliza shukrani zangu za dhati nikisubiri miongozo yenu wadau..
  9. RIC WA KISHETI

    UDSM selection - Undergraduate 2015/2016 (Batch One)

    Mwenye joining instructions ya udsm ya mwaka huu anisaidie wakuu...rictheonly@gmail.com
  10. RIC WA KISHETI

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    George mnyashi limihagati kabla hajaenda BBC
  11. RIC WA KISHETI

    Tukutane hapa first year Law UDSM 2015

    ILIANZA KAMA NDOTO KUWA SIKU MOJA NTAPANDA MLIMANI KUSOMA LAW,NAOMBA WADAU WOTE WENYE UZOEFU NA LAW WATUPE MUONGOZO WADOGO ZAO JUU YA PROFESSIONAL HII,MUHIMU KATIKA JAMII YOYOTE ILE DUNIANI!! Changamoto Mambo muhimu ya kuzingatia, na mengineyo.....karibuni
Back
Top Bottom