mimi dogo ameply kwenye profile nafasi ipo na idadi ya washindani bado ipo haijafikia capacity ya wanafunzi wanaotakiwa lakini ukiwapigia chuo huska wanasema nafasi zimejaa
vat iliyoongezwa hapo inasababisha wao kushindwa kwenye soko na washindani wao kwani washindani wao hawalip io kodi hivyo inapelekea bidhaa zao kuwa bei juu kuliko wengine .tuache miemuko jamani mnashangaa kutengeneza chakula cha kuku mbona MO anatengeneza mafuta ya kupikia wakati alizet tunazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.