Kama hamshei lov na mkeo kwa mda mrefu bora kuachana coz lazma kat yenu kuna mtu atakuwa anachit. Huyo jamaa labda kalambishwa shuntama au nae anagawa ovyo.
Mmh!! Mada nzur. Na ss mabint wa kisukuma tupo, but wengi wetu we dis like wanaume wa kisukuma coz we know, wao wakipata vimada wa kiswahil lazma ahame mji ndo kawaida yao na huko hugeuzwa ndondocha na hawawez kusema.
Mapenz hayana kabila. Mfano, mi nina mrangi ana wivu sana but he hav a realy...
Mmmmh!! In ma addition ni kwamba, hata kama chanzo cha mwanamme kutoka nje ni mke, bado lawama zipo kwa mwanaume tu. Miss understanding hutokea ndan ya nyumba hatukatai, mwenye high power ya kucontrol hiyo hali ni mwanaume kwann achukulie huo ndo udhaifu wa mkewe na kuamua kutoka nje ya ndoa...
Umeona eee!! We murugalama kuwa makini inawezekana ma mdogo kuna ka jamaa kanamrubuni, ndo chanzo cha kibur hicho. Au ulimtake over jamaa wa kule mkuyin?? Sasa kaja kasi, angalia usijeletewa posa kwa mkeo sijui itakuwaje
Itajulikana tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.