Wanajukwaa kwanza habari za muda huu.
Aisee wazo la biashara kwangu limekua kizungumkuti nimewaza beyond the limit yaani hebu mwenye anaweza nipa wazo zuri la biashara maeneo ya Arusha ambayo mtaji wake sio zaidi ya 3.5M naomba anisaidie.
Aliyetoa kauli ya uongo dhidi ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) naye anapaswa kuchukuliwa hatua na Jeshi la Polisi kama linavyofanya kwa vijana wengine wanaotoa kauli mbalimbali za uchochezi uongo au za kufedhehesha.
Sasa Jeshi la Polisi lazima lichukue hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.