Recent content by Return2roots

  1. R

    Rais Magufuli azitaka NGO’s kufungua shule za wenye mimba kama zinawapenda

    Elewa mantiki ya bandiko...kwamba alishapita kupoteza mda wake ktk Jambo Hilo...utaratibu ulishawekwa...hawakuruhusiwa kurejea shuleni, lkn hawakuzuiwa kujielimisha pia...
  2. R

    Rais Magufuli azitaka NGO’s kufungua shule za wenye mimba kama zinawapenda

    Yeye tena hata muda wa kupoteza kuzungumzia Hilo hakuwa nao..."ukijaa" rudi nyumbani...ilikuwa hivyo!
  3. R

    Mbowe: Lowassa ni dhaifu, ni bubu

    Nadhani, sahihi ni waziri Mkuu aliejiuzulu...
  4. R

    Revealed: Chimbuko la utajiri wa Lowassa hili hapa. Je, anafaa kuwa rais?

    Nyumba ya masaki, ikikodishwa na Serikali ya Afrika Kusini, kwa ajali ya kuhudumu kama ubalozi wa A. Kusini? ....chori tu huyu!
  5. R

    RC Kilimanjaro: Tumevunja shamba la Mbowe kulinda mazingira

    Sheria ni msumeno! ...hakika,alisema kweli Shaaban Roberts.... "Umbwa was msasi mkali, no wakali kama msasi mwenyewe"
  6. R

    Kiongozi akipewa zawadi ya mche wa dhahabu na mgodi ni sawa?

    Mkuu...fitna hiyo, vinginevyo, labda kama hukujua wakati ule, kuwa zawadi wanazopewa viongozi kwa nafasi zao, zinakuwa mali ya taifa
  7. R

    RC wa Kilimanjaro, Meck Sadiki na Majaji wawili Wajiuzulu. Rais Magufuli aridhia...

    Kuna "kiumbe cha kisiasa" kishatanua midomò yake, kikijiliwaza, ktk imani wataingia kujazilia tumbo....
  8. R

    Please Lowassa, watu wa Bukoba wanasubiri chakula ulichoahidi wakati wa ukame na sasa ni mafuriko

    Kamanda sasa unataka niondolea faraja ya mabandiko yako... Still dancing with yesterday political ghost? mwache ajiozee, nzi na wala mizoga mingine ndo astahiki yake
  9. R

    KITILA: Bajeti ya Maji Inatosha

    Jifunze historia za kina Jenerali Ulimwengu, marehem Tuntemeke Sanga, Steven Nandonde, Mama Mosi Tambwe, kutaja wachache.... Vipi Deo filikunjombe(rip)?
  10. R

    Ushauri kwa wazazi wa watoto hawa watatu wanaopelekwa Marekani

    Kusaidiwa ni jambo moja...lkn ushauri wa ati kutumia majina ya "wazungu ", ati tu, sbb walisaidia matibabu, unakuwa na ushauri wa wakala wa "slavemaster" kwa watu huru waliokuwa wakihitaji msaada na wakasaidiwa... ...tafakari bandiko lako, kisha jitathmini kama uko huru na utumwa wa kimawazo,(...
  11. R

    Ushauri kwa wazazi wa watoto hawa watatu wanaopelekwa Marekani

    Mkuu...mbona umejishusha na tafakari ya hivi? Hao watoto na wazazi wao bado wanaishi...na hatujui kesho linaweza wakumba jambo gani, na nani mwingine atawasaidia...sasa kwa ushauri wako ni kwamba watabadili majina na kutumia majina ya kila atakaewasaidia? Lkn kwa kujiita jina la hào wazungu...
  12. R

    KITILA: Bajeti ya Maji Inatosha

    Mkuu...wazungu wa wingereza wana methali yao, wakisema "the lips of righteous teaches many, but fools die for want of wisdom".. Kina sie, wapenda kujifunza, halitushangazi hili la Kitila...wa, kinyume na kujifunza, watasumbuka na hili, na mengine mengi... Rais wa awamu ya 3, wakati mmoja...
  13. R

    Maana yake nini, Waziri Lwenge kumtaka Mbunge Kitwanga kuhama CCM?

    Mwenye uwezo mdogo ktk EALA ni nani? "Weka muziki, wacha kuleta maneno" Titajie walau wawili...
Back
Top Bottom