Tatizo unapenda ufahari. Waalike tu waliochanga!
Pili tatizo mnapanga kuoa/ kiolewa bila nyinyi kuwa na akiba zenu za kutosha kujazilia patakapo femea.
Final: Fanya harusi na waliochanga tu! Tafuta ukumbi mdogo wa ku accommodate watu ulio nao, achana na MC wakubwa etc etc
Na wewe ni wa kupuuza! As the VP of the Republic of Tanzania, kila jambo linamhusu, kila jambo lazima alijue maana over some unexpected few seconds anaweza kuwa Rais!
Jana Mahakama imetoa ushindi kwa LISU. Kumekuwa na nderemo na vifijo kwa hukumu hiyo.
Kwangu mimi sina la kushangilia, bado Mahakama ni tawi la serikali linapokea maagizo ya serikali. Tusishangilie vitu vidogo kama hivyo! Bado mahakama haiko huru. It needs to do more! And this is difficult to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.