Recent content by Retired

  1. R

    Ushauri wangu kwa Chadema kuhusu msiba wa Lukuvi

    Shiriki kwenye msiba kwa moyo mkunjufu. Mengine yatafuatia baadaye! Tuwe tofauti na WAO!
  2. R

    The Evils that men do live after thém

    Hakuna cha kuombeana hapa. Unalipwa kadri ya matendo yako duniani. Acha kupoteza muda, fukia maisha yaendelee. Yatengeneze maisha yako ya baadaye ukiwa hai. Hakuna cha kuomba. Nyie wanasiasa mashetani kwenda Kwa shetani mkifa.
  3. R

    Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    Apaté anachokistahili, hakuna cha kuomba hapa, unalipwa ujira wako sahihi
  4. R

    Alex Mkama Apandishwa Cheo Kuwa Kamishna wa Polisi, Ateuliwa Kuongoza Polisi Jamii

    Sifa ni umeua wangapi, umeteka wangapi, umetesa wangapi, umepoteza wangapi which all boil down to degree of UKATILI YOU HAVE, THEN UNAPANDISHWA CHEO
  5. R

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Umeona eh! Wanaridhiana na maiti? Washenzi wakubwa
  6. R

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Akina Lukuvi ni waasisi wa kido ni kifo
  7. R

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Muulize samia, ndiye alitoa kauli hii kwa Kibao
  8. R

    Ujumbe wa Mange Kimambi na vita ya Iran na Trump

    Dear Mr. President, POTUS However this Iran war turns out, you have earned my respect for keeping your word to the Iranian people as they were being massacred by their own government, you told them “help is on the way” and you effin’ delivered. Illegal war my ass, international law my ass. If...
  9. R

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Wewe hujui sheria.. .una equate kumuondoa na mitamuua!
  10. R

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Kifo ni kifo......
  11. R

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Asante Maxence Melo kwa jitihada hizi. Nadhani you were right kunyamaza wakati nilipoomba kujua kwanini JF bado imefungiwa pamoja na kimaliza adhabu. Tuko pamoja. Pendekezo: Kama gharama za kuendesha kesi, JF weka utaratibu tutachangia. Maxence Melo
  12. R

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Na hili ni kichaa na kesho linarithi urais wa baba yake.
Back
Top Bottom