Chande inatakiwa uje utetee report yako ikitoka.
Maswali 2 muhimu ni
1. Namna gani tume yenu hailengi kumkinga Samia na uwajibikaji wa Mauaji ya Halaiki
2. Namna gani Tume yenu ni ya upande mmoja. Ya ki CCM.
Kila mjumbe aliwahi kunufaika na uteuzi wa mwenyekiti wa CCM
Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown.
Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m.
Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa...
Just for curiosity: Wamiliki watahamishwa kwenda " Msovera" au watalipwa kupisha wajomba toka Arabuni?
Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza jijini Dar es Salaam, wamiliki wa nyumba katika eneo hilo wamehoji ni wapi watakwenda kuishi mpango huo...
"Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala.
Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala.
Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.