Recent content by Retired

  1. R

    Kwahiyo Lissu atatolewa kwasababu ya mapendekezo ya Tume yatakayosomwa kesho!?

    Sidhani! Ila speculation hazikatazwi!
  2. R

    PostGE2025 Kwanini mnawatetea sana Chadema, kwenye ishu ya Oktoba 29?

    Hoja dhaifu! Una hoja dhaifu sana. Wapi Chadema walisema tutaua watu? Wapi walisema 29 kuna maandamano? Leta ushahidi siyo revelations!
  3. R

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Alisema several days ago kuwa ripoti ya Chande itatoka tarehe 23. Je.ni kweli kesho itatoka?
  4. R

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Chande inatakiwa uje utetee report yako ikitoka. Maswali 2 muhimu ni 1. Namna gani tume yenu hailengi kumkinga Samia na uwajibikaji wa Mauaji ya Halaiki 2. Namna gani Tume yenu ni ya upande mmoja. Ya ki CCM. Kila mjumbe aliwahi kunufaika na uteuzi wa mwenyekiti wa CCM
  5. R

    Msaada tafadhali kuhusu VPN

    Ni VPN gani ambayo ni inaweza kutumia kwenye Desktop computer? Ambayo ni Free!
  6. R

    PostGE2025 Jaji Chande: Tume imefikiwa na Watu 63,603

    Wewe unatafuta watu wakuseme vibaya! 😅🤣😳🙄
  7. R

    Alphonce Muyinga: Heche ni debe tupu, tutampa elimu tukiona anapotosha umma kwa makusudi

    A ROSE FLOWER WILL SMELL ROSIER WHATSOEVER NAME YOU CALL IT
  8. R

    PostGE2025 Jaji Chande: Tume imefikiwa na Watu 63,603

    Sampling method ilikuwa ipi? This is very important. Very important! Are you sure your sampling method was not biased!
  9. R

    John Heche: Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown

    Hizi ni kodi na ushuru wa serikali kwa gari ndogo tu Crown. Fikiria kijana ambae ameanza maisha hapa Dar, kutokana na adha ya usafiri anajibana ananunua kagari ka usd 6,000 ambazo ni sawa na 14 m. Hiyo gari ikifika inatozwa ushuru mwingine wa 14 m, yaani fikiria ushuru unalingana na ununuzi wa...
  10. R

    Ukiangalia Bunge la Uingereza unaweza kuelewa ilikuaje waliweza kuitawala robo ya dunia wakati fulani na kuwa himaya kubwa zaidi duniani

    Uko sahihi! Wako very serious na mambonya ustawi wa taifa lao! Huku kwetu kuna MAVI watu akina Msukuma na takataka MAVI zingine
  11. R

    Sinza kujengwa upya. Wamiliki waibua maswali

    Just for curiosity: Wamiliki watahamishwa kwenda " Msovera" au watalipwa kupisha wajomba toka Arabuni? Wakati Serikali ikibainisha mpango mpya wa 2026/2046 wa kuliendeleza eneo lote la Sinza jijini Dar es Salaam, wamiliki wa nyumba katika eneo hilo wamehoji ni wapi watakwenda kuishi mpango huo...
  12. R

    Wameshatuona matakataka: Tanzania kuwa masikini ni mtu kutaka by Makonda

    Kuwa masikini ni utashi wetu. Eti hela iko nje nje.
  13. R

    Mchungaji Msigwa: Tujikumbushe kidogo

    "Ukweli ni Kuwa dereva wa Daladala anaweza kusimama na kukupakia mahali ambapo hakuna kituo cha Daladala. Lakini dereva huyo huyo atakataa kukushusha mahali ambapo hamna kituo cha Daladala. Hii inathibitisha watu wanakuhitaji pale tu wanapofaidika na wewe, Changamka."
Back
Top Bottom