Kama mama yako alivyo mradi mana yako yuko vema na mimi
I have said it Time and again kama huna hoja ya kujibu just skip my posts. Sitaki maudhi yasiyo na msingi.
Ukinitukana nitakutukana regardless of kufungiwa
Here we are: By Mpare Mpoli
Nimejitahidi kuangalia katika katiba yetu ya 1977, nimeshindwa kuona ibara ambayo inasema kuua ni kawaida ! @Advocate_Jebra @TonnyAdamms @AdvMahinyila @Mwabuk2Boniface naomba mnisaidie kwenye hilo ili nielimike
Ridiculous! Salim Kikeke ni mwanachama wa CCM kindakinda na Chawa mkubwa wa Samia. Leo anamhoji Chawa namba 2 wa Samia Rose Migiro. Kuna swali la maana litatoka hapo?
Most likely wamekaa kwanza wakapanga maswali na majibu yake ndiyo anakuja public kitulisha takataka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.